Ninathibitisha kuwa Marais wa Afrika hawana akili hata kidogo

Ninathibitisha kuwa Marais wa Afrika hawana akili hata kidogo

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,340
Reaction score
4,659
Tunatambua uwezo wa binadamu katika kujumuika na kuendesha mambo mengine ya kidunia, uongoni ni busara ya kushawishia kupitia maamuzi kwa ajili ya wengine.bahati mbaya iliyoje viongozi wa afrika hawana sifa ya uongozi (influence) bali wamepata authority (mamlaka) na power (nguvu) ya kutuendesha wanavyotaka wao.

Kutokana na fact kwamba wao hawana akili ya kuongoza na wanaishi kwa mazoea basi imekuwa rahisi kwao kuchukua sheria na maamuz mkononi mfano mkubwa nchi ya kusadikika wao toka RAIS wa awamu ya kwanza mpaka hadi hivi sasa umeme kwao ni tatizo na kwa bahati mbaya na ubov wa akili hawatak kujiengua kwani tayar kashapoteza sifa ya kushawishi..poor you
 
Tunatambua uwezo wa binadamu katika kujumuika na kuendesha mambo mengine ya kidunia,uongoni ni busara ya kushawishia kupitia maamuzi kwa ajili ya wengine.bahati mbaya iliyoje viongozi wa afrika hawana sifa ya uongozi(influence) bali wamepata authority(mamlaka) na power (nguvu) ya kutuendesha wanavyotaka wao kutokana na fact kwamba wao hawana akili ya kuongoza na wanaishi kwa mazoea basi imekuwa rahisi kwao kuchukua sheria na maamuz mkononi mfano mkubwa nchi ya kusadikika wao toka RAIS wa awamu ya kwanza mpaka hadi hivi sasa umeme kwao ni tatizo na kwa bahati mbaya na ubov wa akili hawatak kujiengua kwani tayar kashapoteza sifa ya kushawishi..poor you
Kwanza nianze kwa kusema kuwa sisis wananchi hatuna akili, akili zetu ni ndogo zaidi ya viongozi wetu tuliowachagua.

Hii ni kwasababu huwezi kumchagua mpumbavu akuongoze mwenye akili na maarifa. Ila wapumbavu tunaweza kuchaguana. Hivyo kwa kumalizia tusiweke matabaka tunapozungumzia ujinga wa mwafrika. Ibaki kuwa waafrika wote ni wajinga na wapumbavu badala ya kuwanyooshea vidole viongozi.
 
Hawawezi kuwa na akili yote kwa sababu ni zao la wananchi wasio na akili.
sio kwamba afrika hatuna akil ila tumekiuka mila na desturi(sheria na utaratbu) na tumevamia lidude limetuteka..yote kwa yote viongoz ni wapumbv in voice of mkapa
 
mfano mkubwa nchi ya kusadikika wao toka RAIS wa awamu ya kwanza mpaka hadi hivi sasa umeme kwao ni tatizo na kwa bahati mbaya na ubov wa akili hawatak kujiengua kwani tayar kashapoteza sifa ya kushawishi.
Chawa wa nchi ya kusadikika wanakuja.

JIANDAE KUPAMBANA NAO.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Back
Top Bottom