Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Seremala. Ndiyo maana sehemu nyingine anaitwa seremala au mtoto wa seremala. Alichukua kazi ya "baba" yake.Yesu
Yesu alikuwa ananfanya kazi gani mkuu,hebu niongezee ilimu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seremala. Ndiyo maana sehemu nyingine anaitwa seremala au mtoto wa seremala. Alichukua kazi ya "baba" yake.Yesu
Yesu alikuwa ananfanya kazi gani mkuu,hebu niongezee ilimu!
Njoo kwenye dini yako ya asili Uislam. Unafanya ibada zako msikiti wowote bila bughudha ya fungu la kumi na sadaka.Upastor ni kazi ya Mungu, kazi yenye heshima katika Imani, lakini wote tunajua Mapastor wanafanya biashara ya kuokota sadaka.
Nina uhakika asilimia mia wale wanaohutubia njiani wanatafuta sadaka.
Hii kitu inaniumiza sana.
Wapi ambapo Yesu alifanya kazi ya useremala??Seremala. Ndiyo maana sehemu nyingine anaitwa seremala au mtoto wa seremala. Alichukua kazi ya "baba" yake.
NazaretiWapi ambapo Yesu alifanya kazi ya useremala??
Hii aliisema Pastor Mgogo kwenye clip yake ya I drive!! I drive!! I receive I receiveUpastor ni kazi ya Mungu, kazi yenye heshima katika Imani, lakini wote tunajua Mapastor wanafanya biashara ya kuokota sadaka.
Yesu alifanya kazi gani?Mtu yeyote anayeendesha maisha kwa sadaka ni tapeli. Yesu na mitume wake walikuwa na kazi za kufanya. Na hata walipopata msaada haukuwa wa kuwa matajiri bali kujivika na kula basi.
Yeyote anayeendesha maisha yake kwa sadaka ni mvivu na tapeli, anatakiwa kunyanyapaliwa kwa tabia yake hiyo.
Acha uongoNazareti
Tupe mstari ambao ulionyesha yesu alifanya kazi.Mtu yeyote anayeendesha maisha kwa sadaka ni tapeli. Yesu na mitume wake walikuwa na kazi za kufanya. Na hata walipopata msaada haukuwa wa kuwa matajiri bali kujivika na kula basi.
Yeyote anayeendesha maisha yake kwa sadaka ni mvivu na tapeli, anatakiwa kunyanyapaliwa kwa tabia yake hiyo.
UrongoooNazareti
Dunia hii...Upastor ni kazi ya Mungu, kazi yenye heshima katika Imani, lakini wote tunajua Mapastor wanafanya biashara ya kuokota sadaka.
Nina uhakika asilimia mia wale wanaohutubia njiani wanatafuta sadaka.
Hii kitu inaniumiza sana.
[emoji1787][emoji1787]Ajira ni ngumu, maisha ni msongamano,
All means and alternatives of obtaining something on the table towards stomach are in actions.
Suluhu ni kwamba yeye akiomba na wewe unaomba mnakwenda sambamba...
Watu walioishi naye Nazareti wanasema alikuwa seremala. Wewe umezaliwa miaka 2000 baadaye unawabishia!!?Acha uongo
Akina nani na ulikutana nao wapi mpaka wakakuambia?Watu walioishi naye Nazareti wanasema alikuwa seremala. Wewe umezaliwa miaka 2000 baadaye unawabishia!!?
Alipofilisha miaka 30 akaanza kuhubiri injili, alikuwa anaendelea na useremala?Mk 6:3 SUV
Huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu, na ndugu yao Yakobo, na Yose, na Yuda, na Simoni? Na maumbu yake hawapo hapa petu? Wakajikwaa kwake.
Sema baadhiUpastor ni kazi ya Mungu, kazi yenye heshima katika Imani, lakini wote tunajua Mapastor wanafanya biashara ya kuokota sadaka.
Nina uhakika asilimia mia wale wanaohutubia njiani wanatafuta sadaka.
Hii kitu inaniumiza sana.