Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Tokeni huko mlipo kabla hamjachelewa.Upastor ni kazi ya Mungu, kazi yenye heshima katika Imani, lakini wote tunajua Mapastor wanafanya biashara ya kuokota sadaka.
Nina uhakika asilimia mia wale wanaohutubia njiani wanatafuta sadaka.
Hii kitu inaniumiza sana.
ChaiHakuna dini iliyokamili,acha kuleta propaganda,nimeshuhudia waumini na maimamu wakigombea sadaka misikitini.
😂😂😂😂😂😂Mnapenda miujiza sana.
Nilichekasijui mchungaji Gani ana waambia waumini wake simamisha simu juu Kisha tingisha sms ya mpesa itaingia.
Yani wenye mitandao waingiliwe na chuma ulete kwenye server kweli
Sadaka ilenge kwa muhitaji wa kweli. Mfano wa anayestahili kutolewa Sadaka ni yule ambaye anashindwa kutimiza hata mahitaji muhimu.Mnaweza kujadili vile mnavyofikiri kwa sababu ya hizo sadaka lakini mnasahau kuwa kuwa mchungaji hakuondoi mahitaji ya kibinadamu, wanahitaji kusomesha Kama unavyosomesha wewe, wanahitaj kukaa mahali pazuri Kama unavyopambana wewe ukae mahali pazuri
Wakati Mungu anagawa urithi kwa wana waisrael kabila la lawi hawakupata urithi wowote, wao walitakiwa wale vile vinavyoletwa madhabahuni na hao ndugu zao maana wao kazi yao ilikuwa kutumika madhabahuni hawakupaswa kulima au kufanya kazi yoyote ya kiuchumi, kwahiyo walitakiwa kuishi kutikana na hizo sadaka. Sasa mtu unaposema mchungaji ameenda kuhubiri asipewe chochote kwa sababu amehudumiwa unatakiwa kujiuliza alienda na familia yake??... Lakini maandiko yanasema mtenda kazi astahili posho lake.
Hebu tutafakari hapa unamgonjwa ukaenda kumfuata mtumishi amuombee akapona kwani hutakiwi kumshukuru Mungu?? Na ukimshukuru kwa sadaka atachukua nani Kama sio huyo mchungaji aliyekuja?
Huko kwa manabiii mnayataka wenyewe kwenda kupigwa kwasababu nabii huwa hajitangazi anayejitangaza ni tapeli.
Kingine unapotoa sadaka imani yako unaiweka wapi kwa Mungu au kwa anayepokea sadaka yako? Unapotoa sadaka weka imani kwa Mungu usiweke imani kwa anayepokea kwa sababu sadaka haziend mbinguni zinatumika hapa hapa katika kufanya kazi ya Mungu.
Hitimisho huwezi kutumia sadaka kumtambua mchungaji wa kweli au asiye wa kweli mbona kwa waganga mnapeleka sadaka na hamuwalalamikii kwa utapel wa kupokea sadaka?? Bibilia inasema mtawatambua kwa matendo yao.
LINDA SANA IMANI YAKO, KWA SABABU MCHUNGAJI, NABII AU MTUME HANA NAFASI YA KUKUTETEA BALI MUNGU NDIYE ATAKUTETEA
Hakuna sehemu ilisemwa aliacha kazi yake ya Useremala. Hata wafuasi wake walipiga kazi. Paulo nasikia alitengeneza mahema. Hata walijisifu kuwa walifanya kazi hawakuwa tegemezi.Alipofilisha miaka 30 akaanza kuhubiri injili, alikuwa anaendelea na useremala?
Ooh sawa mtumishiHakuna sehemu ilisemwa aliacha kazi yake ya Useremala. Hata wafuasi wake walipiga kazi. Paulo nasikia alitengeneza mahema. Hata walijisifu kuwa walifanya kazi hawakuwa tegemezi.
Wajinga ni hao wanaoenda, kama wasingewafuata mbona wangeacha huo utapeli waoUpastor ni kazi ya Mungu, kazi yenye heshima katika Imani, lakini wote tunajua Mapastor wanafanya biashara ya kuokota sadaka.
Nina uhakika asilimia mia wale wanaohutubia njiani wanatafuta sadaka.
Hii kitu inaniumiza sana.
Naongezea. Mtu aliyesema asiyefanya kazi asile hawezi kuwa tegemezi.Ooh sawa mtumishi
Upastor ni kazi ya Mungu, kazi yenye heshima katika Imani, lakini wote tunajua Mapastor wanafanya biashara ya kuokota sadaka.
Nina uhakika asilimia mia wale wanaohutubia njiani wanatafuta sadaka.
Hii kitu inaniumiza sana.
Njoo Islam dini ya kweli. Utaenda msikitini kuswali na kuomba buree. Sadaka ni option na ni kidogo. Dini ishatuambia wenye uwezo wachangie.
Bahati wenye wamejaaliwa mali wanatambua hilo wanajenga sehemu za ibada. Wala hawajikadhibishi bali wanamkabithi M. Mungu. sisi tunaingia na kuabudu tu.
Kumbe jibu unalo mwenyeweTofautisha dini na imani. Kuna dini ya kiislamu na imani ya kiislamu. Nenda hapo Somalia ndio utajua tofauti ya dini ya kiislamu na imani ya kiislamu.