SOLD: Ninauza shamba langu Bagamoyo (Fukayosi)

SOLD: Ninauza shamba langu Bagamoyo (Fukayosi)

Status
Not open for further replies.
Hivi jamani na swali,, mtu ukitaka kuuza shamba lako lina heka 35 ,hale pembezoni mwa mto pangani shamba lina michungwa mingi tu na minazi.. utauza kwanzia bei gani,,,
 
Hivi hii tabia gani ya kurudia neno moja mara nyingi kiasi hiki?????
Mkuu mbona unaumia sana mimi kutangaza biashara yangu? Unataka kila siku nifungue uzi mpya badala ya ku update? Au basi kama sijapata mteja nikae kimya? Acha hizo ndugu, Inaelekea una roho ya kwanini wewe!

Kila mtu apambane na akili yake mkuu
 
Mkuu mbona unaumia sana mimi kutangaza biashara yangu? Unataka kila siku nifungue uzi mpya badala ya ku update? Au basi kama sijapata mteja nikae kimya? Acha hizo ndugu, Inaelekea una roho ya kwanini wewe!

Kila mtu apambane na akili yake mkuu
Utakua umevurugwa kisa hujauza shamba wewe ....aliyekwambia me nnachuki na wewe ni nani
 
Utakua umevurugwa kisa hujauza shamba wewe ....aliyekwambia me nnachuki na wewe ni nani
Acha ujinga wako kwa kuwa hamna aliyekuleta kwenye huu uzi, kama nakiuka kanuni za JF mods watasema. Ficha matope yako yaliyokujaa kichwani, mumeo ana hasara sana
 
Acha ujinga wako kwa kuwa hamna aliyekuleta kwenye huu uzi, kama nakiuka kanuni za JF mods watasema. Ficha matope yako yaliyokujaa kichwani, mumeo ana hasara sana
Ndo maana shamba haliuziki kwa sababu muuzaji wewe ni kilaza
 
Huko fukayosi ni majanga ..watu wamelizwa sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom