SOLD: Ninauza shamba langu Bagamoyo (Fukayosi)

SOLD: Ninauza shamba langu Bagamoyo (Fukayosi)

Status
Not open for further replies.
Mkuu,
Weka namba yako ya Simu siyo kuweka pm maana, kuiweka hapa namba inasaidia kuonesha kuwa kweli uko makini na uwanja huo hauna tatizo.
 
Mkuu,
Weka namba yako ya Simu siyo kuweka pm maana, kuiweka hapa namba inasaidia kuonesha kuwa kweli uko makini na uwanja huo hauna tatizo.
Shamba halina tatizo na utaratibu wangu wale walio serious nawasiliana nao PM bila shida mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu.

Nina shamba langu nauza, lipo bagamoyo kijiji cha fukayosi.

Ni takriban kilomita 18 kutokea bagamoyo mjini mpaka lilipo shamba.

Shamba limepimwa, lina hati, limezungushiwa kingo pande zote na halina mgogoro wowote.

Gari inafika mpaka shamba maana eneo limepangiliwa na barabara zinapitika majira yote.


Ukubwa wa shamba ni hekari mbili.
Shamba halina dalali kwani mimi ndie muuzaji na mmiliki.

Bei ni Shilingi Milioni tatu (3),pungufu tunazungumza.

Tunaweza kuwasiliana kupitia PM Kwa aliye tiyari pia kwa utaratibu wa kuliona shamba na kujiridhisha.

Kwa wahitaji karibuni sana.
Tangaza sasa nyumba,viwanja ,mashamba,majengo kupitia www.shushabei.com
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom