SOLD: Ninauza shamba langu Bagamoyo (Fukayosi)

Status
Not open for further replies.
Hii bei mbona ni nzuri tu.jamani hela imekuwa ngumu kiasi hicho
 
Mkuu unakosea sana!

Binafsi sifanyi biashara ya utapeli na wala sioni sababu ya kutapeli hela ya mtu, siwezi kukataa kwamba matapeli hawapo ila mimi siyo tapeli.

Kwa wale wahitaji wasihofu kuhusu uhalali , zipo njia nyingi za kujiridhisha zaidi ya serikali ya kijiji.

Kwa mtu makini huwezi kununua ardhi na ukaishia kujiridhisha kwenye serikali ya kijiji, you have to go extra mile beyond that!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…