kwa uzoefu wangu wacheshi wengi wana misimamo kuliko wakimya wengi wanaliwa kimya kimya.Kwa hiyo Bora tukio la mcharuko halistui au Sio?😆😆
Tunajali basi 🤣🤣🤣🤣🤣Akipita hapa atatulaani
Nimetulia tuliii.CHaka lako nini?
Huyo tumpe cocastic[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] Akipita hapa atatulaani
Dharau ndo kitu tunapendaa😊Acheni njaa wanangu.
Mwanaume ukimwambia una njaa anakudharau bora umwombe hata 50k
Kabla hata hatujapa Uhuru [emoji23]Acha tu tongozo lilianzia mbali hili [emoji23][emoji23]
Huyo ni kimeo kwelikweli. Sitamani itokee hivyoSoon mtakuwa mabest na cocastic kwani historia inaonyesha wagombanao hupatana
Kwa hizi compliments kuna kitu kizuri sana nakuandalia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapana ni mweusi sana...atatuharibia mbegu sie tunataka vitoto vi cute Kama shem county