Ninavutiwa sana na wanawake micharuko A.K.A wacheshi

Subiri mdomo wake utakapo Anza kufunguka wa juu.

Ndio utajua umuhimu wa kushinda baa na kwenda kwako usiku wa maneno
 
Ana bwana mod’s we jichanganye km hujapigwa ban [emoji23][emoji23][emoji23]
Wee muache ajichanganyee hivyo hivyooo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ataniomba msamaha kwa kutambaa chini, kuanzia jukwaa LA MMU hadi LA Siasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…