🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 duuu Eve umejua kunichekesha...mimi tena nisijue?? Najuaaa best..ila vya mkwakwani havikua na msisimko..Haustahili kuchukiwa kay hiki kipindi unahitaji kupendwa kuliko wakati wowote, nakupenda🤣🤣🤣🤣....ila habari ya mkwakwani si unayo au nikupe
🤣🤣🤣🤣 Nlikumiss bana shabiki kindakindaki sijakuona muda🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 duuu Eve umejua kunichekesha...mimi tena nisijue?? Najuaaa best..ila vya mkwakwani havikua na msisimko..
Nipo bwana sema si mnyama hachezi? Tukutane msimu ujao mtani🤣🤣🤣🤣 Nlikumiss bana shabiki kindakindaki sijakuona muda
[emoji23] EenhNitakutafuta ufanye koneksheni kuna mutu namuelewa sana humu
Eeenh
[emoji23] Lakini kweli mmetoka mbali nikikumbuka shemeji alivyokuwa anakuchukulia halafi leo amekuwa shemeji yetu acha tu tumjazeDada kwa kuwajaza mashemeji unayaweza [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji119][emoji119][emoji119] unavyo mthibitishia mimi nakauka mbavu huku
Sio shida zetu hizo kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtafika mbinguni kwa kutambaa
Waswahili wanasema "wagombanao ndio wapatanao"[emoji23] Lakini kweli mmetoka mbali nikikumbuka shemeji alivyokuwa anakuchukulia halafi leo amekuwa shemeji yetu acha tu tumjaze
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haustahili kuchukiwa kay hiki kipindi unahitaji kupendwa kuliko wakati wowote, nakupenda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....ila habari ya mkwakwani si unayo au nikupe
[emoji23] Lakini kweli mmetoka mbali nikikumbuka shemeji alivyokuwa anakuchukulia halafi leo amekuwa shemeji yetu acha tu tumjaze
Waswahili wanasema "wagombanao ndio wapatanao"
Wazungu wanasema"those who quarrel are those who make it up"
Niliacha, sirudii tenaNa michezo ya FFM uache [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena bro DeepPond ulikuwa unamsupport huyu shemejiyo khaaaaaa!!! [emoji119][emoji119] mnapeana na location za pa kuwavua
Kama Klaus and Caroline, baadae ikawa bonge ya coupleNikikumbuka alivyokuwa ananizodoa sina hamu [emoji23][emoji23][emoji23] vitu vibaya vyote nimefananishwa navyo afu hawala yake mmoja akawa anashadadia nachoka [emoji119][emoji119]
Hahahaha.....bado nipo nipo sana!!!Wewe si tulisikia uko ICU vipi umekata rufaa?!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha.....bado nipo nipo sana!!!
Mbona niko poa tu. Wakenya ndio walizusha issue ya ICU ila sikuingia huko. I just isolated myself after testing positive![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe unaacha kupambania afya yako unatushauri sie wazima
Mbona niko poa tu. Wakenya ndio walizusha issue ya ICU ila sikuingia huko. I just isolated myself after testing positive!
Natungua dukani Ujerumani. Sina fundi hapa nchini![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa
Hivi na zile suti nani anakushonea mzee