[emoji23][emoji23] Nalia Ngwena anisamehe bure me nampenda shemeji country Joannah ebu njoo upange bajeti ya harusi mpya[emoji2222][emoji2222][emoji2222] Dada andaa sare harusi tunayo. Mwambie na dada muhazina aandae bajeti ya nguvu bwana harusi pesa ipo [emoji23][emoji23][emoji23]
Countrywide shemeji yako kakupitisha bila kupingwa [emoji3059]
Ndio hapo jamani kweli tungeandamanaHebu shangaa wewe udugu wangu tunaanzaje kuwa micharuko sisi mabinti wapole hivi
Tutapaka mafuta ya upako ya mwamposa uchaw wake utashindwa [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nalia Ngwena ataturoga si mlichukua pesa ya uchumba nyie
Evelyn Salt pia anatakiwa hapA...very charming
ngoja, kwani wewe ni mwanamke!!!? ebu subiri inamaana JF kuna kuna wanawake???Mwambie huyo mimi sio mcharuko
Yaani hata mimi linanikereketaga sana😀Unanikera na neno udugu limekaa kishambenga sana nakuacha🤣
Amehlo huyu huyu ninayemtaka mimi? Hapa sina namna zaidi ya kukukatalia maana unataka nimkatie tamaa maana kichwa changu sipendi kuvurugwa vurugwa
Tutapaka mafuta ya upako ya mwamposa uchaw wake utashindwa [emoji23][emoji23]
Evelyn Salt pia anatakiwa hapA...very charming
Yaani hata mimi linanikereketaga sana[emoji3]
😀😀mie silielewagi tu..ongea tu dyadyaJamani sasa tutafanyaje Mrs Thabo tusikukere [emoji12]
Evelyn Salt umepewa maua yako hapa...🥰Nampendaga huyu dada mimi
Halaf huwa sio wagumu kutoa shooo,sema wengi wao huwa wana UTI SUGU[emoji23][emoji23][emoji23]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 qmmmmmmqHalaf huwa sio wagumu kutoa shooo,sema wengi wao huwa wana UTI SUGU😂😂😂