Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Kuna mwamba atanikunja baadaye.... Usiku utakuwa mfupi huu[emoji3060]
Would've came back for you
I just needed time to do what I had to do
Caught in the life, I can't let it go
Whether that's right, I will never know
 
Inawezekana kwa wengine lakini nijuavyo Manyanza ana uwezo wa kujenga hoja hata kama angezama pm na kusema ya moyoni
 
Pole sana Nakadori msamehe mwanaume mwenzetu. Hata mm nishawahi kubakwa sio maramoja na mke ea kaka yangu yeye akiwa mtu mzima kabisa mm nafikiri nlikuwa na miaka kati ya 7 kurudi chini sikumbuki vizuri nlikuwa na umri gani ila nliexperience joto la K nikiwa mdogo sana.
Hivo ukiishi kwa kuwaza historia utaumia sana. Na nikiwa form three ama two nikawa nalazwa na mtoto wa kaka kwa mama mdogo huyo ndo ilikuwa fungulia mbwa coz ilikuwa nyumba ya chumba sebule chumba na imejitenga na tulikuwa tunalala 2 tu. Inshort tulipanga kutoroka tukaoane kabisa ila ilipovuja mm nikapelekwa boarding. Njoo na mm unitukane mkuu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Me wala hainisumbui.
Ndo maana nkasema sina majuto maishani mwangu.
Kwanza hakuwa mjomba tumbo moja na mama bali ndugu kwenye ukoo.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Niwowe basi unistiri nikupikie futari kesho kutwa
Kabisaaaa, kwako wewe niko radhi kwenda kinyume na kampeni ya KATAA NDOA, wewe tu ndio exception case mamaaaa
 
Na wewe unajieleza kabisa
Me wala sina habari...
Yeye aniite majina yote me wala si shtuki.
Najua wazee wa ID za pili kwenye ubora wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…