Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Utaweza ukikuwa mukubwa totoo🤣Nakubaliana na wewe kamanda kuna vitu siwezi himili kabisa..!!🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaweza ukikuwa mukubwa totoo🤣Nakubaliana na wewe kamanda kuna vitu siwezi himili kabisa..!!🙌
Wanaweza kutana hata Jukwaa la Michezo..!!......Kwa hiyo watakutana kwenye jukwaa la wakubwa!!.....
Mimi ni mkali hadi najiogopa but siku hizi unaweza kufanya lolote nabaki kukucheka kama vile hujaniudhi.Nakubaliana na wewe kamanda kuna vitu siwezi himili kabisa..!!🙌
😍1. Ndoto ni kuwa na kampuni kubwa ya maswala ya utalii ili niwe muajiri kupunguza tatizo la ajira tanzania
2. Canada is my future bae
Wooow'...!!Kuwa na positive mindset muda wote na kuchukulia kila mtu kwa namna alivyo.
Usikubali mtu mbaya alibadilishe personality yako.
Lakini pia ulimi wa mwanamke unapaswa uwe soft na sio wa matusi na kupanic ovyo
View attachment 2543416
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe kamanda..!!🙏Mimi ni mkali hadi najiogopa but siku hizi unaweza kufanya lolote nabaki kukucheka kama vile hujaniudhi.
Jinsi unavyoongezeka umri kuna vitu unavishinda auto..
Usiombe kuwa kama mimi utateseka sana kamanda...unamfahamu kamanda Joh?Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe kamanda..!!🙏
KaribuWooow'...!!
Shukrani sana..!!
Umemtag mtu au ndo umenibusu😂😂😂
Asante kwa nafasi mkuu... 😂😂😂NAONA UMEYAJIBU ASANTE SANA KWA USHIRIKIANO WAKO.
NAKARIBISHA MASWALI YENU KWA NAKADORI MEMBERS WA MMU
Jack Daniel , Glenn , sophy27 Kapeace
To yeye Dahan Depal mama D , DeepPond , Lovelovie , Palina , Unique Flower Mac Alpho na wengi wote ambao mtakuwa na maswali kwa Nakadori naomba maswali yeny yawe ya kiunungwana na yenye lugha ya adabu.
Cheers
Nimefanya jambo kwako...kitenziUmemtag mtu au ndo umenibusu😂😂😂
..... honestly wazazi wetuhuwa hawakubali tu lakini kwenye malezi huwa kuna kaupendeleo fulani mtoto mojawapo(anakuwa mtoto wa pekee kwake)......so according to what you have said, I guess, to your mom jivunie kuwa you were the choosen one....rest in iternal peace our mom........1. Kwenye maisha yangu huwa sina Majuto kwa kuwa maamuzi yote ninayofanya nj kwa ajili ya furaha yangu.
2. Kumuuguza mama yangu tangu nikiwa first year hadi anafariki ndo jambo ambalo sijutii maisha. Alipata nafuu nzuri akaja kufa kwa ishu nyingine.... Na mama angu japo amepumzika lakini alikuwa ananiona namjali na kumpenda sana. Alijenga imani kiasi kwamba alikuwa haambiwi kitu kuhusu mimi.
3. Nahisi wapo maana kuna muda unakutana na ID inakutukana kama inakujua vile hadi najikuta nashangaa
Hakupata mtoto mwingine maisha yake yote..... honestly wazazi wetuhuwa hawakubali tu lakini kwenye malezi huwa kuna kaupendeleo fulani mtoto mojawapo(anakuwa mtoto wa pekee kwake)......so according to what you have said, I guess, to your mom jivunie kuwa you were the choosen one....rest in iternal peace our mom........