Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Ngoja ajeok.sasa Mimi namuweza so wewe nikubalie ombi langu. nitakaa nae Kama bwaashemeji na hakita haribika kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja ajeok.sasa Mimi namuweza so wewe nikubalie ombi langu. nitakaa nae Kama bwaashemeji na hakita haribika kitu.
ashalala huyo bwaa shemeji na wifi yako.Ngoja aje
......watu wanataka kuihujumu couple hii mpya in early stages kabisa!!!....hii haikubaliki na sisi kama serikali tunatoa tamko kali kukemea....ikiwa Bi Nakadori na Bw Manyanza hawatakuwa pamoja wahusika watafungwa miaka miwili jela au kulipa faini ya million moja au vyote kwa pamoja.....Hizo stress huwa zinasababishwa na nini? Maana stress huwa ni matokeo ya matukio ya nyuma ndio unakuja kuvuna stress
....mmh hii sio taarifa nzuri Kwa mdau akiiona hapa, next time hizi taarifa za kusikitisha tupeane inbox tushauriane zaidi....Dah hyo kapo inaanzia wapi na inaishia wapi? Utanigombanisha na wa flirt wangu jaman.. 😅😅😅😅😅😅
Hatimaye umefikaNaanza kukubali ??? 😂 😂 😂 😂
Pole utaponaStill macho yanauma, jioni nitaenda kucheki