dafram power
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 434
- 660
yaa Nisha muacha.ndio mana sasa hivi nachat nawewe tuu.so unaweza kunipa hio no?Muache kaka wa watu hanaga maneno na mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaa Nisha muacha.ndio mana sasa hivi nachat nawewe tuu.so unaweza kunipa hio no?Muache kaka wa watu hanaga maneno na mtu
Sasa mbona unamchanganya msela katikati ya mademu af peke yake sasa...af umemuweka katikatiiiiii...The Queen of MMU. hujaona nukta hapo???
Mbona unafeli kizembe sana
Kunasiku nilimuamkia binti mmoja "haujambo mchuma..[emoji39]" anatumia aidii ya foksi sjui fai ninihuko mbele.....
Aiseeeee..... [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
usinitukane bhana mremboo..Unataka kutukanwa ?
[emoji1787]
Namheshimu sana dada mkubwa
usinitukane bhana mremboo..
no.mimi ni daframu nguvuuuuu💪💪💪Wewe ni Faiza?
Nitamuomba samahani mkuu...🙏 kwa hali niliokua nayo usiku ule hata sijui nilikua namtaja nani walahi...😅Unataka kutukanwa ?
[emoji1787]
Namheshimu sana dada mkubwa
Ana nguvu ya kuchat na mm sasa.😂 😂 😂 😂
Umenisikitisha sana Mkuu na negativity zako juu yangu kuhusu Nakadori. Endelea kuchat nae ili utimize malengo yako kwake
acha uoga dogoo.😂 😂 😂 😂
Umenisikitisha sana Mkuu na negativity zako juu yangu kuhusu Nakadori. Endelea kuchat nae ili utimize malengo yako kwake
wee mchumba nakupenda ujue...Ana nguvu ya kuchat na mm sasa.
taja umli wako tujue sio porojo sawa? Mimi Niko 42 wewe?Nimekufungulia njia kazi kwako halafu Mimi ni sawa na Baba yako humu JF uwe na adabu we Kijana
Sasa why ulikuja kama hater in the first place ?wee mchumba nakupenda ujue...
Ntakulipua shauri yakooChombo ya uncle