Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Uzuri wa Maisha yako unatokana na wewe mwenyewe na Personality yako. Sasa hasira na maneno machafu ya nini humu MMU. Matusi peleka kwenye majukwaa ya Simba na Yanga sio humu kwenye jukwaa la Marafiki na Mahusiano
mahusiano gani kenge wewe.umeshindwa kutongoza demu huyo unajifanya kumjua sana

sema tukusaidie kurusha voko Kama umeshindwa..
 
Na mm pia nalifahamu Hilo Toka alivyo leta ushuhuda huo kuliwa kiamsiara heshima yake kwangu iliporomoka snaa numuona Kama mtu muhuni aliyekoza adabu na makuzi shenzi Sana

Jitu zima linakuja kumfungulia Uzi kumfagiliaa

Pengine hyo I'd Ni ya kwake anajipakulia nyama

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
We dr namugari faller sana yaani Mimi unanifananisha na Nakadori ? Natoa masaa mawili uwe umeshaniomba msamaha lasivyo nitakuchukulia hatua kali sana za kimaisha 🀣🀣🀣🀣🀣
 
mahusiano gani kenge wewe.umeshindwa kutongoza demu huyo unajifanya kumjua sana

sema tukusaidie kurusha voko Kama umeshindwa..
Kwa Mtu mwenye mdomo mchafu kama wewe na hasira za kipumbavu mpaka humu mtandaoni. hufai kwa lolote kwenye maisha halisi.
 
Back
Top Bottom