Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
π π π π ππ πNimeamkia kwa Nakadori ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π ππ πNimeamkia kwa Nakadori ππππ
mahusiano gani kenge wewe.umeshindwa kutongoza demu huyo unajifanya kumjua sanaUzuri wa Maisha yako unatokana na wewe mwenyewe na Personality yako. Sasa hasira na maneno machafu ya nini humu MMU. Matusi peleka kwenye majukwaa ya Simba na Yanga sio humu kwenye jukwaa la Marafiki na Mahusiano
wee chok unamuweza huyo?Nimeamkia kwa Nakadori ππππ
We dr namugari faller sana yaani Mimi unanifananisha na Nakadori ? Natoa masaa mawili uwe umeshaniomba msamaha lasivyo nitakuchukulia hatua kali sana za kimaisha π€£π€£π€£π€£π€£Na mm pia nalifahamu Hilo Toka alivyo leta ushuhuda huo kuliwa kiamsiara heshima yake kwangu iliporomoka snaa numuona Kama mtu muhuni aliyekoza adabu na makuzi shenzi Sana
Jitu zima linakuja kumfungulia Uzi kumfagiliaa
Pengine hyo I'd Ni ya kwake anajipakulia nyama
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwa Mtu mwenye mdomo mchafu kama wewe na hasira za kipumbavu mpaka humu mtandaoni. hufai kwa lolote kwenye maisha halisi.mahusiano gani kenge wewe.umeshindwa kutongoza demu huyo unajifanya kumjua sana
sema tukusaidie kurusha voko Kama umeshindwa..
kwamba wee na nakodari ni wazazi wangu?Sina wazazi wajinga Mimi na ingekuwa hivyo ninge wakataaAcha kuwadharirisha wazazi wako waliokuzaa kwa kutukana kiboya boya hivi au Wewe ndio Chocoooo???
huna lolote chok wee.sema tukutongozee.Kwa Mtu mwenye mdomo mchafu kama wewe na hasira za kipumbavu mpaka humu mtandaoni. hufai kwa lolote kwenye maisha halisi.
cheki nako kanajichekesha.π π π π ππ π
π π π π π πcheki nako kanajichekesha.
mkubalie tuu huyu jamaa ni Domo zege
au humtaki nikutongoze mimi?π π π π π π
ππππππau humtaki nikutongoze mimi?
Jibubas mtoto mzuri.ujue ukicheka Mimi nahisi umekubali?ππππππ
Nakucheka kukuzomea hujui tuJibubas mtoto mzuri.ujue ukicheka Mimi nahisi umekubali?
Wapotezee na weweKwa Mtu mwenye mdomo mchafu kama wewe na hasira za kipumbavu mpaka humu mtandaoni. hufai kwa lolote kwenye maisha halisi.
ahaa usijali hayo nimambo ya kawaida kwa sisi vidume.Nakucheka kukuzomea hujui tu
Muache kaka wa watu hanaga maneno na mtuahaa usijali hayo nimambo ya kawaida kwa sisi vidume.
hebu nitumie no yako ya mpesa pm kunakitu nikiweke sawa Mana kunatatizo la kiufundi nimeliona.