Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sifa kede kede kwa mrembo Nakadori 🏃🏃🏃Ntakulipua shauri yakoo
Funikeni kombe mwanaharamu apite
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sifa kede kede kwa mrembo Nakadori 🏃🏃🏃Ntakulipua shauri yakoo
Funikeni kombe mwanaharamu apite
Hahaha anajitahidi kusimama nae aonekaneHuyo ni mtoto wa miaka 26, 27 haizidi 29 anataka mazoea ya hovyo na maroboti 🤣 🤣 🤣 🤣
Twende mbele turudi nyuma kidogo, maswali yapi mtaniAu nirudie kujibu maswali nini
We fa masiala
Hahahaha kule juuTwende mbele turudi nyuma kidogo, maswali yapi mtani
awe anaanzisha thread zenye utata humu MMU mbona atasimama haraka sana humu mtandaoni. Lakini akumbuke Likes na Positive quotes zitampa faraja na Popularity mtandaoni tu sio kwenye maisha ya kawaidaHahaha anajitahidi kusimama nae aonekane
Hayo yajibuHahahaha kule juu
Hahahahqhq as if likes zinaongeza salio bankawe anaanzisha thread zenye utata humu MMU mbona atasimama haraka sana humu mtandaoni. Lakini akumbuke Likes na Positive quotes zinampa faraja mtandaoni tu sio kwenye maisha ya kawaida
😅😅😅Hayo yajibu
Ni tatizo la Watu wengi sana hasa humu mitandaoni, mtu anakuwa na vitabia vya hovyo hovyo au anakuwa analeta uzi wenye utata atasifiwa na kupewa likes nyingi lakini kumbe haisaidii chochote. Kuna Dogo humuhumu kwenye jukwaa la Mpira nilikuwa nasoma post zake ni za matusi hasa zinalenga matusi ya kujichua na mambo mengine ya hovyo. Nikamwambia Dogo masturbation inakuharibu, video za Baikoko Yuotube na Ponography achana nazo. Huyo Dogo alinifuata PM akakiri kweli kabisa hiyo ndio michezo yake halafu yuko Chuo. Nadhani atakuwa amepunguza hiyo michezo na amekuwa raia mwema sana humu mitandaoni hata hana comments za maneno machafu tenaHahahahqhq as if likes zinaongeza salio bank
Wengine stress za maisha wanajikuta wako bitterNi tatizo la Watu wengi sana hasa humu mitandaoni, mtu anakuwa na vitabia vya hovyo hovyo au anakuwa analeta uzi wenye utata atasifiwa na kupewa likes nyingi lakini kumbe haisaidii chochote. Kuna Dogo humuhumu kwenye jukwaa la Mpira nilikuwa nasoma post zake ni za matusi hasa zinalenga matusi ya kujichua na mambo mengine ya hovyo. Nikamwambia Dogo masturbation inakuharibu, video za Baikoko Yuotube na Ponography achana nazo. Huyo Dogo alinifuata PM akakiri kweli kabisa hiyo ndio michezo yake halafu yuko Chuo. Nadhani atakuwa amepunguza hiyo michezo na amekuwa raia mwema sana humu mitandaoni hata hana comments za maneno machafu tena
Sasa why ulikuja kama hater in the first place ?
taja miaka yako dogo acha kupiga lamli ya kukisiaUmri ni namba tu na nimekuambia humu JF Mimi ni Baba yako kipi haujaelewa?
kiuhalisia wewe utakuwa ni miaka 27 hauvuki 29 😂 😂 😂
Pombe hazikupendi ziachenilikuwa nimelewa mdaule.so nakupenda sana.
yap nitaacha.so vipi umenikubalia ombi langu au bado niendelee kurusha voko?Pombe hazikupendi ziache
ahaa Kumbe jamaa nimtu wako na hasemi😅😅?Manyanza akikubali me sina neno
Me yule ni kaka angu na ndo mpokea mahari leo keshoahaa Kumbe jamaa nimtu wako na hasemi😅😅?
ok.sasa Mimi namuweza so wewe nikubalie ombi langu. nitakaa nae Kama bwaashemeji na hakita haribika kitu.Me yule ni kaka angu na ndo mpokea mahari leo kesho