Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Hivi 2025 utaweza piga Tena kuraa sidhani labda ndani yagari Kisa ule umri miguu imeshachokaMambo mchumba...๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi 2025 utaweza piga Tena kuraa sidhani labda ndani yagari Kisa ule umri miguu imeshachokaMambo mchumba...๐
nikuseme nini mrembo Kama wewe?labda nitakuwa Sina akili.Sasa mf.nikasema yes je hutonisema huko kweli??๐ Mie napanikigii
Weweeeee.....Hivi 2025 utaweza piga Tena kuraa sidhani labda ndani yagari Kisa ule umri miguu imeshachoka
Mxiuu wewe kazee nani kakufufua unasumbua wanadada humuWeweeeee.....
Hiyo 2025 ndio namaliza kidato cha nne, tena natamani nifeli ili nirudie tena kujitotosha...๐๐
Mpunga umeiva mchumba, hapa nasubiria ukauke ili nianze kwenda kubadilishana debe moja na kila ninapo hitaji lita 5 ya pombe..๐๐Sijambo? Ushirombo hawajambo?
Ushavuna mpunga huko?
Weweeeee.....
Hiyo 2025 ndio namaliza kidato cha nne, tena natamani nifeli ili nirudie tena kujitotosha...[emoji12][emoji13]
๐๐๐๐Mpunga umeiva mchumba, hapa nasubiria ukauke ili nianze kwenda kubadilishana debe moja na kila ninapo hitaji lita 5 ya pombe..๐๐
Lakini uliwanyoa?๐คฃ๐คฃ๐คฃTangu nilipo nusurika, saizi natamba kama jogoo la kuchi huku mtaani kwetu..๐คฃ๐คฃ
Weeee.....Mxiuu wewe kazee nani kakufufua unasumbua wanadada humu
๐คช๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃUongoooWeeee.....
Ebu legea kabla haujakoma, wao ndio wananisumbua...๐๐
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] namm namfukuzia nimleHawa niwajinga huwenda Hilo jamaa linamtaka ndio Mana limeleta ushubwada wake.au binti anasaka atenshen.
ila nimalaya tuu Hana lolote
Ni wee Ni I'd unajipigia pandeGlenn eti mimi na manyanza ni ID moja [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Baki hapo hapo wewe Dr feki
Kunasiku nilimuamkia binti mmoja "haujambo mchuma..๐" anatumia aidii ya foksi sjui fai ninihuko mbele.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa mimi siuzi hizo 100, zote nakupa wewe mchumba ili tufanikishe mambo mbalimbali...๐๐๐๐๐
Uuze gunia 100 uje nikushauri biashara nzuri
Karibu mkulima hodariSasa mimi siuzi hizo 100, zote nakupa wewe mchumba ili tufanikishe mambo mbalimbali...๐
Mkuu wewe haujawai kunitakia mema kabisa hapa jamvini...๐คฃ๐Lakini uliwanyoa?๐คฃ๐คฃ๐คฃ