Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Ninavyomjua Nakadori humu MMU

Hivi 2025 utaweza piga Tena kuraa sidhani labda ndani yagari Kisa ule umri miguu imeshachoka
Weweeeee.....
Hiyo 2025 ndio namaliza kidato cha nne, tena natamani nifeli ili nirudie tena kujitotosha...๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜
 
Nakie,
Unawezaje kuendelea kuwa humble hata kwa watu wanaokukwaza na kauli zao za kuudhi.?? Hili naomba anijibu na To yeye hivi mnawezaje..??
Nawaonaga kama punguani ivo siwez mkasirikia chiz mie......๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Sijambo? Ushirombo hawajambo?
Ushavuna mpunga huko?
Mpunga umeiva mchumba, hapa nasubiria ukauke ili nianze kwenda kubadilishana debe moja na kila ninapo hitaji lita 5 ya pombe..๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜Š
 
Mpunga umeiva mchumba, hapa nasubiria ukauke ili nianze kwenda kubadilishana debe moja na kila ninapo hitaji lita 5 ya pombe..๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜Š
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Uuze gunia 100 uje nikushauri biashara nzuri
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kunasiku nilimuamkia binti mmoja "haujambo mchuma..๐Ÿ˜‹" anatumia aidii ya foksi sjui fai ninihuko mbele.....
Aiseeeee..... ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Uuze gunia 100 uje nikushauri biashara nzuri
Sasa mimi siuzi hizo 100, zote nakupa wewe mchumba ili tufanikishe mambo mbalimbali...๐Ÿ˜‹
 
Back
Top Bottom