Atlantic Star
JF-Expert Member
- Feb 22, 2023
- 539
- 1,696
......ok you were the only one to her life, ulikuwa ndo kila kitu kwake..... hata hivyo you are lucky na hongera kwa uchangia kitu fulani kwa mzazi wako hasa kuuguza...wengine kwenye maisha yao walikosa nafasi kuonesha upendo kwa wazazi wao wapendwa mpaka wanafariki.....so wanalia usiku na mchana wakitamani siku zirudi nyuma......Hakupata mtoto mwingine maisha yake yote
mchumba wangu hujambo?Ni mention kwenye Uzi wowote nijue upo online
mchumba wangu hujambo?Ni mention kwenye Uzi wowote nijue upo online
......sa si uinue sura na wewe japo kidogo tukuonepo hata macho.....Sura yangu hiyo kwa picha hapo
🙏🙏......ok you were the only one to her life, ulikuwa ndo kila kitu kwake..... hata hivyo you are lucky na hongera kwa uchangia kitu fulani kwa mzazi wako hasa kuuguza...wengine kwenye maisha yao walikosa nafasi kuonesha upendo kwa wazazi wao wapendwa mpaka wanafariki.....so wanalia usiku na mchana wakitamani siku zirudi nyuma......
Mmh mchumba since when how wheremchumba wangu hujambo?
Hahaha iinue tuu......sa si uinue sura na wewe japo kidogo tukuonepo hata macho.....
Dady usiwatukane bwana[emoji26][emoji21][emoji21][emoji21] f...you maniyokooo
😕😕acha Mambo mengi I love you.nikubalie ule mema ya nchiMmh mchumba since when how where
unajiona upo smat mwenyewe😅😅sasa mbona uliliwa na mjomba?Dady usiwatukane bwana
Ur better than this
Sijui anajiita nani siku hizi, sijamuona kwa muda mrefuHivi anajiita nani siku hizi au alipita na corona?
Muandiko wake unafanana na johnthebaptistSijui anajiita nani siku hizi, sijamuona kwa muda mrefu
We Acha tuuKama Ni paper hii ni UE maana sio kwa maswali hayo😅
Kula ushibe ujibu mama,mleta Uzi amekuelewa SanaWe Acha tuu
......ni zaidi ya dodoso la sensa...Kama Ni paper hii ni UE maana sio kwa maswali hayo😅
Eti wewe ndiye yule wa kwenye jamvi la Musk? nijibu kwa ishara yeyote ili tusimwage mpunga😂😂😂😂We Acha tuu
Jamvi la.musk ndo lipii?Eti wewe ndiye yule wa kwenye jamvi la Musk? nijibu kwa ishara yeyote ili tusimwage mpunga😂😂😂😂
twi...t...aJamvi la.musk ndo lipii?
Hapana sijawah kuwa hukotwi...t...a