Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Sipendi wa dada wanaowafanya wanaume wao kama ATM, unatoka na mdada for Lunch unaishia mlipia kila kitu na hata voucher anakuomba! Kibaya zaidi unamlipia hadi Taxi
Sipendi wa Kaka wanaopiga mizinga wadada, mdada mzuri kama wewe huwezi kosa 50,000 hebu nisaidie ninashida, akipewa huwa harudishi anaendelea kupiga miziga wadada wengine.
Hebu kila mtu aishi kwa urefu wa kamba yake, mambo ya kulazimishana hata zawadi tena zile za bei mbaya kwa jinsia zote yanakera.
Mdada hata hujamjua vizuri anakuomba chain ya kiunoni...Mch kuulizia bei inafika karibu na Milioni hahahahahaha kazi kweli kweli, Mkaka naye kajuana na mdada amepata safari ya Durban unamwomba akuletee suti nyeusi ya Gucci size 42 hahahahahaha
Kila mtu ale kulingana urefu wa kamba zake kama zawadi usichague, Kama ni mapenzi kila mtu anafurahia wala hakuna anayetoa favor ebo!
Sipendi wa Kaka wanaopiga mizinga wadada, mdada mzuri kama wewe huwezi kosa 50,000 hebu nisaidie ninashida, akipewa huwa harudishi anaendelea kupiga miziga wadada wengine.
Hebu kila mtu aishi kwa urefu wa kamba yake, mambo ya kulazimishana hata zawadi tena zile za bei mbaya kwa jinsia zote yanakera.
Mdada hata hujamjua vizuri anakuomba chain ya kiunoni...Mch kuulizia bei inafika karibu na Milioni hahahahahaha kazi kweli kweli, Mkaka naye kajuana na mdada amepata safari ya Durban unamwomba akuletee suti nyeusi ya Gucci size 42 hahahahahaha
Kila mtu ale kulingana urefu wa kamba zake kama zawadi usichague, Kama ni mapenzi kila mtu anafurahia wala hakuna anayetoa favor ebo!