Ninawachukia Hawa.....

Ninawachukia Hawa.....

................kwani ukininunulia utakufa jamani...? ....hela thi ni makalatathi tu?...thatha thi unipe iyo hela jamani mpendhi wangu?.....au thiku hidhi hunipendi?
Ahahaa ahaaaa PJ
 
sasa hapo ndio pa kuonyeshea ujacri wako na kukataa kwani shida kitu gani, we upo na yeye haupo na ma shost, kumbe mnayatakaga?

Ili nikiomba yale mambo yetu ni nyimwe lol?
 
Halafu Nyamayao hujakutana na mashosti wanaouliza anakupa nini huyo, muite tumchune yani huwa wananikera kabla hawajamkera aliyepangwa kuchunwa.

mie hakuna tabia inayonikera kama mdada kuomba credoo, yaani nachukia sana halafu ukikutana na mtu kama Masa anakutumia ya 1000, tabia mbaya sana hii na wadada wengi wao wanayo sana.
 
Halafu Nyamayao hujakutana na mashosti wanaouliza anakupa nini huyo, muite tumchune yani huwa wananikera kabla hawajamkera aliyepangwa kuchunwa.

I love this comment of urs...I will always be happy to help provided hakuhusiani na Kuchunana! Kumbuka nina ngozi ya Kiti moto unachuna nini sasa?
 
wapo kweli hawa watu waombaji ombaji sana wa jinsia zote
lakini tusiwalaumu sana kwa sababu
mtu ukiombwa unahaki ya kukataa
kwani huwa unalazimishwa? ukimwambia no mara mbili
harudii kukuombaomba ovyo
atajiongeza kuwa wewe si ATM ila ni LOAN BOARD
unatoa kwa sababu,wakati na kwa mtu maalum tu.
 
Halafu Nyamayao hujakutana na mashosti wanaouliza anakupa nini huyo, muite tumchune yani huwa wananikera kabla hawajamkera aliyepangwa kuchunwa.


tabia nyingine chafu ya wadada ndio hiyo, unaitwa na bfnd wako unabeba mashoga 6 kwenda nao, kutokujiamni tu...mie ningekuwa mwanaume ningeaga naenda washroom then natokomea zangu watajua cha kufanya bill itakapowacli.
 
wapo kweli hawa watu waombaji ombaji sana wa jinsia zote
lakini tusiwalaumu sana kwa sababu
mtu ukiombwa unahaki ya kukataa
kwani huwa unalazimishwa? ukimwambia no mara mbili
harudii kukuombaomba ovyo

atajiongeza kuwa wewe si ATM ila ni LOAN BOARD
unatoa kwa sababu,wakati na kwa mtu maalum tu.

hapo napo kama ni mdada anakutema coz anakuona kama mbahili vile, kazi kweli kweli....
 
Mchungaji Masa!
unachosema ni kweli, hapa mtaani kuna dada mmoja tuna undugu wa mbali ana tabia kama hizo ulizozisema hapo juu,
jumapili jioni kaja home akasema tutoke akampigia simu na rafiki yake wakaja tukajoin tukaenda sehemu tukaagiza vinywaji na Msosi, mara akapokea simu kutoka kwa Classmate wake aliemaliza nae chuo akamwambia nipo sehemu fulani akaja na mtu wake jumla tukawa watano, yule rafiki aliyempigia simu ambae ni classmate wake alipofka akaagiza bia na mwenzake wakanywa kama tatu tatu na bi Menu ikabidi tuongeze tukamaliza kula pale ikaja bili menu elfu 22, vinywaji elfu 25.
halafu mwanaune nilikuwa peke yangu ikabidi nitoe elfu 40 na yeye akamlizia zilizobaki...
na siku nyingine tupo madukani maeneo ya Mwenge aliiona nguo ikamvutia at that time alikuwa hana cash ya kutosha akaniomba elfu 30, nikamwazima, na muda huo tulikuwa tumechukua taxi kutoka Kijitonyama na unajua ishu a wadada akamweka jamaa zaidi ya dakika 20 jamaa akaomba aongezewe mshiko akanipiga bomu tena sh 4500...
Na ishu nyingine nilikuwa na external Hard disk320 GB, nikamwambia lipa elfu 85 uchukue mpaka leo kajikausha (HUYU DADA NINA UNDUGU NAE)
LAKINI KWA TABIA ZAKE NINA MPANGO WA KUACHA KUFUATANA NAE
 
Wanaume wengine bila "kupigwa mzinga" wanajihisi kama fedhea fulani! Kwahiyo lazima amwachie 100,000/= kila anapotoka kwenda "lunch" na msichana...
 
Masa huu upuuzi upo sana,ni juzi tu nilikutana na watu bahati mbaya au nzuri nikawakuta na mtu mwingine kwenye kuuliza nikaambiwa eti jamaa anampenda mmojawapo kati yao walichofanya wamemuita kuja kukunguta mifuko yake nilikasirika nikajikuta nimeaga na kuondoka.Niliwatafuta siku nyingine na kuwaeleza ukweli maana mambo mengine yanatia aibu halafu wanachochuna nini bia, vocha ,nyama choma eti kaona gauni , kiatu kizuri na mazagazaga mengine ya kujionyesha mjini naye yumo.

Uwiiiiiiiiiiiii Hamna bakora hapa tutembeze.

I love this comment of urs...I will always be happy to help provided hakuhusiani na Kuchunana! Kumbuka nina ngozi ya Kiti moto unachuna nini sasa?
 
tabia nyingine chafu ya wadada ndio hiyo, unaitwa na bfnd wako unabeba mashoga 6 kwenda nao, kutokujiamni tu...mie ningekuwa mwanaume ningeaga naenda washroom then natokomea zangu watajua cha kufanya bill itakapowacli.

Thank God wewe ni mdada, Maana mwanaume wa kukimbia majukumu bado hajazaliwa.
 
Mchungaji Masa!
unachosema ni kweli, hapa mtaani kuna dada mmoja tuna undugu wa mbali ana tabia kama hizo ulizozisema hapo juu,
jumapili jioni kaja home akasema tutoke akampigia simu na rafiki yake wakaja tukajoin tukaenda sehemu tukaagiza vinywaji na Msosi, mara akapokea simu kutoka kwa Classmate wake aliemaliza nae chuo akamwambia nipo sehemu fulani akaja na mtu wake jumla tukawa watano, yule rafiki aliyempigia simu ambae ni classmate wake alipofka akaagiza bia na mwenzake wakanywa kama tatu tatu na bi Menu ikabidi tuongeze tukamaliza kula pale ikaja bili menu elfu 22, vinywaji elfu 25.
halafu mwanaune nilikuwa peke yangu ikabidi nitoe elfu 40 na yeye akamlizia zilizobaki...
na siku nyingine tupo madukani maeneo ya Mwenge aliiona nguo ikamvutia at that time alikuwa hana cash ya kutosha akaniomba elfu 30, nikamwazima, na muda huo tulikuwa tumechukua taxi kutoka Kijitonyama na unajua ishu a wadada akamweka jamaa zaidi ya dakika 20 jamaa akaomba aongezewe mshiko akanipiga bomu tena sh 4500...
Na ishu nyingine nilikuwa na external Hard disk320 GB, nikamwambia lipa elfu 85 uchukue mpaka leo kajikausha (HUYU DADA NINA UNDUGU NAE)
LAKINI KWA TABIA ZAKE NINA MPANGO WA KUACHA KUFUATANA NAE

nimecheka kwa nguvu zote jamani...hahaha duniani humu raha tele lol sasa hapo ni ndugu yako imagine kwa bfnd wake anamfanyiaje?
 
Raha ya Mwanaume kuhonga bana @ Mch. Masa
 
tabia nyingine chafu ya wadada ndio hiyo, unaitwa na bfnd wako unabeba mashoga 6 kwenda nao, kutokujiamni tu...mie ningekuwa mwanaume ningeaga naenda washroom then natokomea zangu watajua cha kufanya bill itakapowacli.
hahaha kuna mmoja aliita Demu wake kuja kuinjoy na yule demu alkaenda na mashostito wake baada ya kula na kunywa jamaa akalipa bili kubwa ambayo ilimuumiza sana roho.!! akaaga anaenda wash room, kufika huko machungu yamemzidi akaanza kulia si mshikaji wake akamkuta kumuuliza kulikoni unalia chooni jamaa ikabidi aeleze tu machungu yake. kazi kweli kweli!
 
Thank God wewe ni mdada, Maana mwanaume wa kukimbia majukumu bado hajazaliwa.

majukmu ya kuwanywesha beer na kuchoma nyam, kweli dunia ina majukumu mengi lol, enzi zile mie mr mpaka alikuwa ananiuliza kama nina frnds coz kila tukitoka ni mie na yeye labda na frnds zake, aliwafahamia kwenye shida na raha(msiba/sherehe) cpendi kubebana kabisa mnaonekana kama waswahili wa kushinda vibarazani.
 
Halafu Nyamayao hujakutana na mashosti wanaouliza anakupa nini huyo, muite tumchune yani huwa wananikera kabla hawajamkera aliyepangwa kuchunwa.
........Mama weeeeeee
 
wanachochuna nini bia, vocha ,nyama choma eti kaona gauni , kiatu kizuri na mazagazaga mengine ya kujionyesha mjini naye yumo. Uwiiiiiiiiiiiii Hamna bakora hapa tutembeze.

Unakuta kadada umbile dogo tu ila kana kula kama mwisho wa dunia waja, mtu anaagiza kuku mzima na chips na St Anne chupa nzima.....ama kuna kadada kamoja hako ni balaa kaliagiza mguu wa mbuzi na ndizi 6 na Chupa ya Wine nimesahau jina ila ya South Africa....kalifuta kila kitu na mwili wa Umodel hivi loh.....angekuwa bonge nisingalishangaa
 
Back
Top Bottom