Ninawachukia Hawa.....

Najua mpenzi ila ye wakati yuko bize kutongozeka kwa mume wa mtu si ajabu wakumfaa yeye anampita hivi hivi anaona.Matatizo mengine hua ni ya kujitakia...
 
Najua mpenzi ila ye wakati yuko bize kutongozeka kwa mume wa mtu si ajabu wakumfaa yeye anampita hivi hivi anaona.Matatizo mengine hua ni ya kujitakia...


hiyo ni hasara kwa upande wake yeye, na cdhani kama huwa wanafikiria hayo.
 
Duh hii sred imenipitaje mmbea mie?? Hata sijui
Nimechekaje.....I used to think kuwa nina kilema flani kushindwa kufanya baadhi ya mambo, kumbe am lucky, very lucky aisee.

Mmesahau na zile mtu anajifanya amesahau kuchukua pochi/wallet yenye pesa na kadi za ATM anakuomba umuazime atakurudishia akirudi home.
 

Nimekoma, sitakukopa tena.... Kumbe nikikukopa unakuja kunianika huku.

Mwone kwanza.
 
Ila kusema za ukweli, mi mwanamke asiponipiga mzinga kidogo sijisikii raha.

Raha ya mwanaume kuchunwa bana::mimba::mimba:
 
Ila kusema za ukweli, mi mwanamke asiponipiga mzinga kidogo sijisikii raha.

Raha ya mwanaume kuchunwa bana::mimba::mimba:

na unawapaga kama ngapi? icje ikawa unawatumia credoo za 1000 then unajiona nawe umechunwaaaa...
 
na unawapaga kama ngapi? icje ikawa unawatumia credoo za 1000 then unajiona nawe umechunwaaaa...
Hivi mizinga ina viwango? Kuchunwa kuchunwa tu!

Hahahahha Babu unanionea mie sijakuanika bana.........................
Ila pale umefanya nini? Manake umenifunua nguo zote nimebaki uchi..... siku ile ni kweli nlisahau wallet na sikutoka na ATM card....kumbe hukuniamini? Mwone vile....

.....Ndio maana unakuwaga mkali Bibi akitaka kulipa bili eh??
Hehehehe.....unaendelea kunianika siyo? Ila mjukuu akilipa bili anapanda cheo na kuwa mjukuu mtiifu.
 
chunwa ni kuchunwa? utafananisha wewe wa buku na alienunua ki starlet au kakiwanja au anaelipa kodi ya nyumba laki kwa mwezi kwa miezi 6? wewe unatoaga sadaka.
 
una maakili ww! raha ya mizinga kugongesheana! mi huwa nashangaa mwanamke anayemkopesha hela mumewe,lol!

msukuma ananipigaga mizinga but na mie najua tarehe kama hizi narudisha na riba, so tunapigana mizinga wote.
 
Mimi napiga mizinga kiakili....si Mara kwa mara pale inapobidi! Nategemea hata upande wa pili....usiwe na mizinga ya kijinga
Mi napenda tu mtu ajue kabisa nahitaji na ataona tu ila mzito sana kuombaomba na nikiwa nahitaji nitafanya kila mbinu mpaka itoke bila mtu kuhisi kapigwa mzinga
 
Na waume wanaojua majukumu yao raha sana, utasikia hiki nikubadilishie mke wangu, hiki haufanani nacho mke wangu, nimeona hiki nikaamua nikuletee umekipenda, mara niko hapa Maryrose nikuletee nini weweeeeeee acha tu, hapo utapata muda gani wa kupiga mzinga?
 
una maakili ww! raha ya mizinga kugongesheana! mi huwa nashangaa mwanamke anayemkopesha hela mumewe,lol!
Hahahahahaha wapo dear, ila hii sioni kama tatizo kama wewe unazo kuliko yeye, na ni kweli yuko matatizoni
 
una maakili ww! raha ya mizinga kugongesheana! mi huwa nashangaa mwanamke anayemkopesha hela mumewe,lol!


halafu cjui unaanzaje kumdai, ndio mana nikasema kwenye mapenzi hakunaga kukopeshana kuna kupeana coz mtafikia mahali mtakapeshana mpaka kitandani sasa...inanikumbusha frnd wangu alikuwa anajua mr wake ana hawara nje bac cku akichelewa urudi anahic ndio ametokea huko wakiwa wamelala mr akitaka haja anaambiwa leo una shs ngapi, naanzia laki coz najua ulikotoka umetoa zaidi hahahaha nilikuwa cnaga mbavu na hili game.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…