Ninawachukia Hawa.....

Hahahahahaha wapo dear, ila hii sioni kama tatizo kama wewe unazo kuliko yeye, na ni kweli yuko matatizoni


sasa wanaandikishiana kabisa na kujua atarudisha na riba shs ngapi na akiikosa kunirudishia nampeleka polic?..lol....dunia ina vijimambo hii, kama yupo matatizoni ni sawa kabisa kumpatia, huwa tunawapa tu sio kumkopesha jamani....
 
mi siwezi kukopeshana hela na mwenza wangu,bora nikakope kwa mshkaji! nitampa ila siku atakayolipa wala hatajua kama keshalipa deni,akili kumkixhwa bana!

Kingasti we hujawahi kudaiwa wewe.mizinga wapi?
 
sasa wanaandikishiana kabisa na kujua atarudisha na riba shs ngapi na akiikosa kunirudishia nampeleka polic?..lol....dunia ina vijimambo hii, kama yupo matatizoni ni sawa kabisa kumpatia, huwa tunawapa tu sio kumkopesha jamani....
Riba ni kuhakikisha anamrusha hewani tu!na kumfurahisha
 
mi siwezi kukopeshana hela na mwenza wangu,bora nikakope kwa mshkaji! nitampa ila siku atakayolipa wala hatajua kama keshalipa deni,akili kumkixhwa bana!
Wifi embu nifundishe maujanja!!
 
Riba ni kuhakikisha anamrusha hewani tu!na kumfurahisha


hahahaha haya bwana lakini huyu kichwa maji wangu cjui kama nikimkopesha atanirudishia ndio mana naonaga nimpe tu...
 
ukishaona kuna kukopeshana kuaminiana hakuna tena. ila sasa kuna mwanaume unampa hela hadi za ku-maintain small house. na hao wezi wa kike wabaya kweli,hakawii kukupigia kabisa kukutambia ile milioni alikuomba wakati ule ilikuwa kodi yangu! ukishaona mambo halijojo ndo kunakuwa na zangu na zako,ila kama uko makini unafanya saccoss kabisaa, akichukua laki unajitwalia laki 3,hehehe!

</p>
<p>&nbsp;</p>
 

Nashangaa na mie...huko faragha wanatoa kwa mikono miwili, hadharani wanalalamika. Anza kujenga misimamo yako mwenyewe, ukiambiwa ninunulie lunch mwambie hela sina.
 
wifi weeh tulia tu,kitchen party yako tunamalizana wenyeewe! wakati yy anajisifia wife ananihong,sie tunagonga na kucheka (zile sign language za mkjj,lol!)

Hhahahahha!
Wifi nipe elimu bwana na mie nataka kua mpiga mizinga wa kisirisiri...
 
gaga, kuna watu ni wachoyo na wanapenda kujiskia kama wao hawana siku zote! of all the things ambavyo niliwahi kupewa, mamake mdogo mr (she was 90+ yrs then) alinipa tsh 1,000/= akaniambia proudly 'zawadi yako ukanunue mwenyewe,mi sijui vitu vya mjini'. i hugged her and cried,kuna watu walitoa zawadi za malaki bt i was touched!kila nikienda sikosi kakitenge ka maana,amenipa deni! mpnz hata kama hana,atakununulia hata biskuti ya kukuibia kuonesha anajali!au hata alipe bill ya drinks,lol!

Hahahahahaha wapo dear, ila hii sioni kama tatizo kama wewe unazo kuliko yeye, na ni kweli yuko matatizoni
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
wifi kupiga mzinga sio tabia nzuri,muhimu ni kuhakikisha una mechanism ya ku-recover costs zako hawa wakaka wa siku hizi ukifanya mchezo unamsaidia kutunza nyumba ndogo yake,mariooo epidemic!

Hhahahahha!</p>
<p>Wifi nipe elimu bwana na mie nataka kua mpiga mizinga wa kisirisiri...
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
hehehe! ya kaisari mpe kaisari bwana! riba ya hela sio mruko,hii economics ya st kayumba haifai bestee!

Riba ni kuhakikisha anamrusha hewani tu!na kumfurahisha
</p>
<p>&nbsp;</p>
 

Kusema NO wakati mwingine kunapunguza heshima!
 


hahaha umeona eeh, ki ukweli hiyo kanuni hapo ndio ninayoitumia na inanisaidia sana, ishu ya kulipia wengine kodi na jasho langu naiwezea wapi mie? halafu kwani nampaga nyingi bac, sana sana gari ijae wese, kama ni za maendeleo nahakikisha naenda kumaliza mwenyewe...hhahahaha
 
Mkuu niko upande wako,
bora hata wewe umeweza kusema, mi nilidhani nikiwambia watu wataniona mchoyo kiaina.
kweli hata mimi inaniboa kwa pande zote mbili,
wakaka wengine yeye hawezi hata kukununulia soda lakini utashangaa linakuja kwako akikuta wine au kinyaji chochote anachukua,tena bora anywee hapo hapo anaondoka na chupa yote eti anaenda nywea kwake, kama ni chupa ya wine hata iko nusu anabeba bila kujua hata umeitoa wapi ni uungwana huo kweli?
Watu wengine wajifunze kua na huruma na kuheshimu vitu vya wenzao.
Unamuangalia tu unashindwa hata kumuelewa.
 

unamuangalia tu? kwann, kibo mie ningemwambia hakuna kuondoka nayo kama hawezi kjimiminia kwenye glass na atulie, tena ukute ndio nimebakiwa nahako kachupa ka1 ndio kabisa, kuna watu wana mitabia michafu kweli yaani wewe ukute mtu kajinunulia vinywaji vyake ndani ubebe ukanywee kwako bila idhini?
 

Nahisi wewe unaroho mbaya tena ya Korosho! Inabidi unajichekesha chekesha hata akiondoka na nusu chupa.....ladies manners!
 
Nahisi wewe unaroho mbaya tena ya Korosho! Inabidi unajichekesha chekesha hata akiondoka na nusu chupa.....ladies manners!

nitajaribu kuipaka rangi iwe nyeupe labda itakuwa nzuri, kuendekezana tu, na kuvumilia matabia mabaya, yeye soda hawezi kununua kwangu anifanyie vituko pweehhh...cc wengine madume jike.
 
hakuna mwanaume asiehonga wala asiyependa kuhonga

ishu sio kuhonga ishu ni kuchunwa

Kuchunwa hakuna mazoea bana unaweza chunwa ukaapa hutachunwa tena ukapata mwingine akakuchuna zaidi.
wanaochunwa ni wale wasojiamini, anakupa kitu ili umpende hayo sio mapenzi, ila nadhani ukimpa mtu wako kwa kupenda kwako mwenyewe bila kuombwa wala kulazimishwa unakua hujahonga umefanya inavyotakiwa.
Ndo maana mwanamke pia unaeza mpa mwanaume wako kitu ukijiskia kufanya hivyo, ni sawa na nihaki kabisa kupeana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…