Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Nahisi wewe unaroho mbaya tena ya Korosho! Inabidi unajichekesha chekesha hata akiondoka na nusu chupa.....ladies manners!
nitajaribu kuipaka rangi iwe nyeupe labda itakuwa nzuri, kuendekezana tu, na kuvumilia matabia mabaya, yeye soda hawezi kununua kwangu anifanyie vituko pweehhh...cc wengine madume jike.
:ranger::ranger::ranger: