Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kama baba ako alivyokuwa upinde!Mbona unaandika kama u mwanachamma wa Upinde party, na tigo yako imechakazwa vibaya na mb...oo
Sibishani na hanithi wa CHADEMA.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama baba ako alivyokuwa upinde!Mbona unaandika kama u mwanachamma wa Upinde party, na tigo yako imechakazwa vibaya na mb...oo
Thubutu yenu!! Hakuna wa kumtoa Samia mpaka 2030 ambapo Katiba haimruhusu.Watanzania anzeni kurudisha kadi za CCM kwa Ma DC haraka iwezekanavyo
Kufanya hivyo, kutamfanya Rais Samia kuachia Ikulu kwa sababu, kati ya vitu ambavyo hawezi kuvumilia kabisa kufanya kazi na kila mteule wake, ni cadi za ccm tu kurudishwa kwenye ofs zao
Na ili bandari zetu zipone, dawa ni ndogo sana, ni kurudisha kadi za ccm kwenye ofsi zao pale lumumba na kwenye ofisi za wakuu wa wilaya na mikoa
Jambo hilo halitamuacha salama Rais wetu na kusha ataachia ngazi fasta
Hongera wananchi wa Mtwara kufanya tukio hilo la kishujaa na kuigwa
Vijana wa CCM asilomia 90 ni Machawa hawana Kadi hela ya Vocha tu mpaka wapewe wataweza kulipia kadi?Vijana wanapambani kupata kadi ,nyie rudisheni tu CCM kama la masia wana academy hatari ,vijana wapya kila mwaka .
Wewe ndio una akil za kitoto , unakaaje na kadi ya chama hakikupi elimu ya ukweli ya mikataba inayoingia na wageni pia inakuficha hata usijue mikataba yake na wageniacha utoto
Vyote vipo ndani ya CCM, angalia njia wanazotumia ccmu kulinda mkataba wao udini na ukabilaNje ya utawala wa CCM kuna:-
1)Ukabila
2)Ukanda
3)Udini
4)Ugaidi wa kidini
5)Ugaidi wa KIKOMUNISTI
6)Siasa za kihafidhina
#SiempreCCM[emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23]Utakuja muda gani tukupokee?!!!
Je CCM ya sasa ndio ile ya Nyerere ?Vijana wanapambani kupata kadi ,nyie rudisheni tu CCM kama la masia wana academy hatari ,vijana wapya kila mwaka .
Vijana wanapambani kupata kadi ,nyie rudisheni tu CCM kama la masia wana academy hatari ,vijana wapya kila mwaka .
Ndio hao maana ndo wanaona ni njia ya kupata kazi.Unaongelea yuvi sisiem? Hopeless products ya nchi
Hii nimeipenda!Watanzania anzeni kurudisha kadi za CCM kwa Ma DC haraka iwezekanavyo
Kufanya hivyo, kutamfanya Rais Samia kuachia Ikulu kwa sababu, kati ya vitu ambavyo hawezi kuvumilia kabisa kufanya kazi na kila mteule wake, ni cadi za ccm tu kurudishwa kwenye ofs zao
Na ili bandari zetu zipone, dawa ni ndogo sana, ni kurudisha kadi za ccm kwenye ofsi zao pale lumumba na kwenye ofisi za wakuu wa wilaya na mikoa
Jambo hilo halitamuacha salama Rais wetu na kusha ataachia ngazi fasta
Hongera wananchi wa Mtwara kufanya tukio hilo la kishujaa na kuigwa
Huko uliko utakuwa umezungukwa na wazee, maana wazee ndio wanataka kadi za CCM.Nahitaji kazi za CCM kwa ndugu na jamaa walionizunguka!
Handsome Boy CBE umerudi kwa kasi sana!Nje ya utawala wa CCM kuna:-
1)Ukabila
2)Ukanda
3)Udini
4)Ugaidi wa kidini
5)Ugaidi wa KIKOMUNISTI
6)Siasa za kihafidhina
#SiempreCCM[emoji120]
Kwani CCM ni wazee pekee kwamba haina vijana?, poor mind.Nchi hii haina wazee milioni 8, acha uongo wa kijinga.
Wengine tulirudisha 1989 baada ya kujaza fomu za kujiunga na chuo maana ilikuwa haiwezekani uchaguliwe kujiunga bila kadi hiyo. Mfumo mbaya sanaWatanzania anzeni kurudisha kadi za CCM kwa Ma DC haraka iwezekanavyo
Kufanya hivyo, kutamfanya Rais Samia kuachia Ikulu kwa sababu, kati ya vitu ambavyo hawezi kuvumilia kabisa kufanya kazi na kila mteule wake, ni cadi za CCM tu kurudishwa kwenye ofs zao
Na ili bandari zetu zipone, dawa ni ndogo sana, ni kurudisha kadi za CCM kwenye ofisi zao pale Lumumba na kwenye ofisi za wakuu wa wilaya na mikoa
Jambo hilo halitamuacha salama Rais wetu na kisha ataachia ngazi fasta
Hongera wananchi wa Mtwara kufanya tukio hilo la kishujaa na kuigwa