Ninawaomba watanzania kuanza kurudisha kadi za CCM

Tena watu wa Arusha warudishe kwa sababu maji yamepandishwa hizo Ankara balaa.

Huko Meru mkuu wa wilaya kafanyiwa vurugu kisa bei kandamizi za maji na kubambikia bili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…