Ninawapa alama 0/100 washiriki wote wa mdahalo StarTv kuhusu uchaguzi wa CHADEMA. Tazama video.

Ninawapa alama 0/100 washiriki wote wa mdahalo StarTv kuhusu uchaguzi wa CHADEMA. Tazama video.

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Huyu mfuasi wa Lissu hajui kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2020 au kaamua kujifanya mwendawazimu? Kwa huu mdahalo wa jana hakuna mwenye nafuu kwenye hawa washiriki wanne. Wote nawapa alama 0/100. Yericko anastahili na viboko kabisa. Ntobi aliyesema CHADEMA imeanzishwa 2019 anastahili kuwekewa vikwazo vya kiuchumi na Mbowe.

View: https://www.instagram.com/reel/DEcq1qQKPYD/?igsh=MWxyazhjcXFlanl0ZA==
 
Wewe hukustahili kuwa hata hapo ulipo.
Unalijua hilo!!??

MaCCM ambao wote ni Pro-Mbowe hamuwezi kuwapa credit Team Lissu.

Wale vijana wawili wa Lissu ni mara 10000000 zaidi ya uongozi mzima wa UVCCM.
 
Wewe hukustahili kuwa hata hapo ulipo.
Unalijua hilo!!??

MaCCM ambao wote ni Pro-Mbowe hamuwezi kuwapa credit Team Lissu.

Wale vijana wawili wa Lissu ni mara 10000000 zaidi ya uongozi mzima wa UVCCM.
Kwa taarifa yako CCM wanamhitaji Lissu kwasababu wanajua ni mtu wa mihemko,hana mipango hana subira hajui siasa.
 
Kwa taarifa yako CCM wanamhitaji Lissu kwasababu wanajua ni mtu wa mihemko,hana mipango hana subira hajui siasa.
Nimemuonyesha mdada mhudumu wa hapa Junction Park huu mchango wako, amecheka kweli kwa dharau.
 
Huyu mfuasi wa Lissu hajui kilichotokea kwenye uchaguzi wa 2020 au kaamua kujifanya mwendawazimu? Kwa huu mdahalo wa jana hakuna mwenye nafuu kwenye hawa washiriki wanne. Wote nawapa alama 0/100. Yericko anastahili na viboko kabisa. Ntobi aliyesema CHADEMA imeanzishwa 2019 anastahili kuwekewa vikwazo vya kiuchumi na Mbowe.

View: https://www.instagram.com/reel/DEcq1qQKPYD/?igsh=MWxyazhjcXFlanl0ZA==

Wangalau cdm kwa sasa wamerudisha ladha ya siasa za ushindani, maana chaguzi za nchi zimegeuka ni za ushindani wa kishenzi. Hizi ndio aina ya siasa za ushindani tunavyotaka ziwe.
 
Wangalau cdm kwa sasa wamerudisha ladha ya siasa za ushindani, maana chaguzi za nchi zimegeuka ni za ushindani wa kishenzi. Hizi ndio aina ya siasa za ushindani tunavyotaka ziwe.
Tatizo linakuja kwanini wavuane nguo kiasi kile au ndo demokrasia??
Alafu mdahalo kwanini washiriki wapambe badala ya wagombea??
 
Tatizo linakuja kwanini wavuane nguo kiasi kile au ndo demokrasia??
Alafu mdahalo kwanini washiriki wapambe badala ya wagombea??
Wagombea watakuwa na siku yao, hao ni midahalo ya utangulizi.
 
Back
Top Bottom