Pre GE2025 Ninawapongeza CHADEMA kwa maoni yao ila hoja namba 5 ni ya ovyo

Pre GE2025 Ninawapongeza CHADEMA kwa maoni yao ila hoja namba 5 ni ya ovyo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naam zitapunguzwa kwa miezi kadhaa alafu kuongezwa maradufu baada ya miezi kadhaa..., Hata walivyoongeza hizi posho za sasa sidhani kama walikushirikisha wewe kama mwananchi ?

Duniani hizi Political Parties zimeshageuka kama platforms za watu kupata kura ili waende kura...,
Unashauri Nini boss?
 
Ni vipi kama wabunge watakuwa wengi kwa maana ya kuhudumia wananchi, kisha mishahara Yao ikapunguzwa zaidi ya nusu ya Sasa? Je wakipunguza posho za Sasa za wabunge, sambamba na kupunguza vikao vya bunge, huoni kama suala la gharama halitakiwepo. Tatizo ni hiyo kuongelea mapendekezo ya cdm, katika mtazamo wa kiccm.

Kwa taarifa yako huko uwanjani wachezaji huwa 11 Kila upande, lakini Kila team huwa na mbinu au mfumo wake wa kiuchezaji.
Suala la wabunge kuwa wengi katika sura hiyo yaweza kuwa sawa lakini kwanini walazimishe mbunge mwanaume na mwanamke? Mbunge achaguliwe kwa uwezo wake na sio jinsia yake!
 
Leo nimeamua kuwapongeza CHADEMA kwa kuonyesha weledi wa kisiasa kwa kutoa maoni yao kuhusu muswada wa sheria ya uchaguzi. Safari hii ufipa wamejitahidi tofauti na wakati mwingine.

Hata kama sikubaliani na maoni yao yote ila nakubaliana na namna walivyojitahidi kupanga hoja zao.

Nawapongeza pia kutoruhusu kila kada wa Ufipa na kupost maoni kwenye social media hali inayofanya CHADEMA ionekane kama familia ya kambale kila mwanafamilia ana ndevu.

Imezoeleka huko UFIPA kila mtu ni msemaji wa chama. Pia nakipongeza ACT kwa kuwafundisha CHADEMA siasa za kisomi. ACT wao hutoa matamko yao kisomi na sio kila mwanachama kuropoka mitandaoni.

Maoni mengi sio mabaya kwa kutolewa na chama cha siasa kinachotaka kushika dola ingawa maoni mengi ni copy & paste toka kwenye rasimu ya Warioba. Mimi nimeshangazwa sana na hoja namba 5 inayosomeka hivi:

"Kuwe na wabunge wawili wa kuchaguliwa kwa kila Jimbo la uchaguzi, moja Mwanaume na Mmoja mwanamke ambao kila mmoja atachaguliwa kwa kura zake kwenye kundi analogombea".
Nakubaliana na wewe, tunataka wabunge wapungue wawe hata 100 wenye tija badala ya sasa hawa wagonga meza pekee
 
Suala la wabunge kuwa wengi katika sura hiyo yaweza kuwa sawa lakini kwanini walazimishe mbunge mwanaume na mwanamke? Mbunge achaguliwe kwa uwezo wake na sio jinsia yake!
Utadhani Tanzania haina maendeleo sababu ya 50/50 kitu ambacho ni ujinga tupu
 
Leo nimeamua kuwapongeza CHADEMA kwa kuonyesha weledi wa kisiasa kwa kutoa maoni yao kuhusu muswada wa sheria ya uchaguzi. Safari hii ufipa wamejitahidi tofauti na wakati mwingine.

Hata kama sikubaliani na maoni yao yote ila nakubaliana na namna walivyojitahidi kupanga hoja zao.

Nawapongeza pia kutoruhusu kila kada wa Ufipa na kupost maoni kwenye social media hali inayofanya CHADEMA ionekane kama familia ya kambale kila mwanafamilia ana ndevu.

Imezoeleka huko UFIPA kila mtu ni msemaji wa chama. Pia nakipongeza ACT kwa kuwafundisha CHADEMA siasa za kisomi. ACT wao hutoa matamko yao kisomi na sio kila mwanachama kuropoka mitandaoni.

Maoni mengi sio mabaya kwa kutolewa na chama cha siasa kinachotaka kushika dola ingawa maoni mengi ni copy & paste toka kwenye rasimu ya Warioba. Mimi nimeshangazwa sana na hoja namba 5 inayosomeka hivi:

"Kuwe na wabunge wawili wa kuchaguliwa kwa kila Jimbo la uchaguzi, moja Mwanaume na Mmoja mwanamke ambao kila mmoja atachaguliwa kwa kura zake kwenye kundi analogombea".

Hii ni hoja ambayo haikutakiwa kutolewa na chama kinachojinadi kuguswa na mzigo wa kodi walio nao wananchi kugharamia uendeshaji wa serikali. Yaani kwenye hizi zama tunazotaka wabunge wapungue kutoka 393 hadi labda 100 wao CHADEMA ndo wanataka waongezeke wengine? inashangaza na kutia hasira mno.

Wabunge wa kuchaguliwa mwaka 2020 walikuwa 264 kwahiyo kwa hesabu za hovyo za Ufipa wanataka waongezeke wengine 264. Hoja yao hii ikipita tutakuwa na wabunge zaidi ya 528 kwenye bunge lijalo. INAKERA SANA kuwa na upinzani unaowaza jinsi gani waingie madarakani na kutafuna kodi za wananchi.

Ninashauri hoja za CHADEMA zisomwe kwa utulivu mkubwa kwasababu kuna hoja zina nia ovu kwa mwananchi mlipa kodi. Hoja zao zimejikita kushika dola zaidi bila kujali maumivu atakayopata mtanzania.

Pia wanaCCM na wazalendo tusichoke kukiadhibu hiki chama cha Mbowe kila fursa ya sanduku la kura inapojitokeza. Kuanzia ngazi ya kitongoji lazima tukiadhibu CHADEMA.
Hoja ya CHADEMA siku zote ni kuwa na serikali za Majimbo ambapo mikoa iliyopo itageuzwa Majimbo. Kwa hiyo wakisema Kila Jimbo hawamaanishi Majimbo haya ya Jaji Mutungi na genge lake. Mikoa 32 ikiwa na Wabunge wawili wawili jumla ni Wabunge 64 pekee Tanzania nzima. Bado unaona kuna Mzigo Kwa walipa Kodi kulinganisha na 293 wa Sasa?
 
Hoja ya CHADEMA siku zote ni kuwa na serikali za Majimbo ambapo mikoa iliyopo itageuzwa Majimbo. Kwa hiyo wakisema Kila Jimbo hawamaanishi Majimbo haya ya Jaji Mutungi na genge lake. Mikoa 32 ikiwa na Wabunge wawili wawili jumla ni Wabunge 64 pekee Tanzania nzima. Bado unaona kuna Mzigo Kwa walipa Kodi kulinganisha na 293 wa Sasa?
Hapa tunaongelea muswada wa sheria ya uchaguzi na sio rasimu ya Warioba. Acha kuchepusha mada
 
Nadhani wao hawakulenga kuwa na idadi kubwa zaidi ya wabunge, bali kutoa fursa sawa kwa wabunge wanaume na wanawake na huenda mantiki yao ni kwamba kura ziamue nani atakuwa mshindi na ikitokea (kama kuna huo muujiza) wakashinda wote wawili, sawa. Pendekezo hili halina maana kwamba majimbo ya uchaguzi hayawezi kupunguzwa ili tuwe na idadi ndogo ya wanaochaguliwa kama shida iko kwenye idadi ya wabunge watakaochaguliwa na Chadema siyo wanaoongeza hayo majimbo.
Acha mambo ya kudhani hapa wakati hoja zao wamezitamka bila kudhani.
 
Kwamba Kila mtanzania analazimika kulipa corporate Tax? Au umeishiwa na hoja Sasa unaanza kutumia mabavu hoja yako ipite?
Unabisha upuuzi ukute hata TIN number ya biashara huna.
 
Leo nimeamua kuwapongeza CHADEMA kwa kuonyesha weledi wa kisiasa kwa kutoa maoni yao kuhusu muswada wa sheria ya uchaguzi. Safari hii ufipa wamejitahidi tofauti na wakati mwingine.

Hata kama sikubaliani na maoni yao yote ila nakubaliana na namna walivyojitahidi kupanga hoja zao.

Nawapongeza pia kutoruhusu kila kada wa Ufipa na kupost maoni kwenye social media hali inayofanya CHADEMA ionekane kama familia ya kambale kila mwanafamilia ana ndevu.

Imezoeleka huko UFIPA kila mtu ni msemaji wa chama. Pia nakipongeza ACT kwa kuwafundisha CHADEMA siasa za kisomi. ACT wao hutoa matamko yao kisomi na sio kila mwanachama kuropoka mitandaoni.

Maoni mengi sio mabaya kwa kutolewa na chama cha siasa kinachotaka kushika dola ingawa maoni mengi ni copy & paste toka kwenye rasimu ya Warioba. Mimi nimeshangazwa sana na hoja namba 5 inayosomeka hivi:

"Kuwe na wabunge wawili wa kuchaguliwa kwa kila Jimbo la uchaguzi, moja Mwanaume na Mmoja mwanamke ambao kila mmoja atachaguliwa kwa kura zake kwenye kundi analogombea".

Hii ni hoja ambayo haikutakiwa kutolewa na chama kinachojinadi kuguswa na mzigo wa kodi walio nao wananchi kugharamia uendeshaji wa serikali. Yaani kwenye hizi zama tunazotaka wabunge wapungue kutoka 393 hadi labda 100 wao CHADEMA ndo wanataka waongezeke wengine? inashangaza na kutia hasira mno.

Wabunge wa kuchaguliwa mwaka 2020 walikuwa 264 kwahiyo kwa hesabu za hovyo za Ufipa wanataka waongezeke wengine 264. Hoja yao hii ikipita tutakuwa na wabunge zaidi ya 528 kwenye bunge lijalo. INAKERA SANA kuwa na upinzani unaowaza jinsi gani waingie madarakani na kutafuna kodi za wananchi.

Ninashauri hoja za CHADEMA zisomwe kwa utulivu mkubwa kwasababu kuna hoja zina nia ovu kwa mwananchi mlipa kodi. Hoja zao zimejikita kushika dola zaidi bila kujali maumivu atakayopata mtanzania.

Pia wanaCCM na wazalendo tusichoke kukiadhibu hiki chama cha Mbowe kila fursa ya sanduku la kura inapojitokeza. Kuanzia ngazi ya kitongoji lazima tukiadhibu CHADEMA.
Umesoma rasimu ya Warioba? Nayo pia ilikuwa na pendekezo kama hilo. Majimbo yanapunguzwa sana. Mwisho wa siku bunge kitakuwa dogo kuliko la sasa.
 
Umesoma rasimu ya Warioba? Nayo pia ilikuwa na pendekezo kama hilo. Majimbo yanapunguzwa sana. Mwisho wa siku bunge kitakuwa dogo kuliko la sasa.
Hapa tunaongelea muswada wa sheria za uchaguzi au rasimu ya Warioba? Acha kuchanganya mambo.
 
Leo nimeamua kuwapongeza CHADEMA kwa kuonyesha weledi wa kisiasa kwa kutoa maoni yao kuhusu muswada wa sheria ya uchaguzi. Safari hii ufipa wamejitahidi tofauti na wakati mwingine.

Hata kama sikubaliani na maoni yao yote ila nakubaliana na namna walivyojitahidi kupanga hoja zao.

Nawapongeza pia kutoruhusu kila kada wa Ufipa na kupost maoni kwenye social media hali inayofanya CHADEMA ionekane kama familia ya kambale kila mwanafamilia ana ndevu.

Imezoeleka huko UFIPA kila mtu ni msemaji wa chama. Pia nakipongeza ACT kwa kuwafundisha CHADEMA siasa za kisomi. ACT wao hutoa matamko yao kisomi na sio kila mwanachama kuropoka mitandaoni.

Maoni mengi sio mabaya kwa kutolewa na chama cha siasa kinachotaka kushika dola ingawa maoni mengi ni copy & paste toka kwenye rasimu ya Warioba. Mimi nimeshangazwa sana na hoja namba 5 inayosomeka hivi:

"Kuwe na wabunge wawili wa kuchaguliwa kwa kila Jimbo la uchaguzi, moja Mwanaume na Mmoja mwanamke ambao kila mmoja atachaguliwa kwa kura zake kwenye kundi analogombea".

Hii ni hoja ambayo haikutakiwa kutolewa na chama kinachojinadi kuguswa na mzigo wa kodi walio nao wananchi kugharamia uendeshaji wa serikali. Yaani kwenye hizi zama tunazotaka wabunge wapungue kutoka 393 hadi labda 100 wao CHADEMA ndo wanataka waongezeke wengine? inashangaza na kutia hasira mno.

Wabunge wa kuchaguliwa mwaka 2020 walikuwa 264 kwahiyo kwa hesabu za hovyo za Ufipa wanataka waongezeke wengine 264. Hoja yao hii ikipita tutakuwa na wabunge zaidi ya 528 kwenye bunge lijalo. INAKERA SANA kuwa na upinzani unaowaza jinsi gani waingie madarakani na kutafuna kodi za wananchi.

Ninashauri hoja za CHADEMA zisomwe kwa utulivu mkubwa kwasababu kuna hoja zina nia ovu kwa mwananchi mlipa kodi. Hoja zao zimejikita kushika dola zaidi bila kujali maumivu atakayopata mtanzania.

Pia wanaCCM na wazalendo tusichoke kukiadhibu hiki chama cha Mbowe kila fursa ya sanduku la kura inapojitokeza. Kuanzia ngazi ya kitongoji lazima tukiadhibu CHADEMA.
Umesema kweli. Siasa ni biashara so wanaangalia zaidi maslahi yao.

Wanaoingia kwenye siasa kwa ajili ya kuwaletea watanzania ya kweli ni wachache sana na Uenda kwa sasa hayupo hata mmoja.
 
Umesema kweli. Siasa ni biashara so wanaangalia zaidi maslahi yao.

Wanaoingia kwenye siasa kwa ajili ya kuwaletea watanzania ya kweli ni wachache sana na Uenda kwa sasa hayupo hata mmoja.
Wewe mbona kichwa yako inawaza sana siasa?
 
Back
Top Bottom