...Kwa kuwa fomu ilikuwa mojayombo vya juu , vingekasimu masuala yote kwa Kamati Kuu. Vinginevyo mambo yote yaliyokuwa yanafanyika ilikuwa usanii mtupu!
Ni mchakato wa kidemokrasia. Mbona Sumaye alipigwa chini uenyekiti kanda ya pwani japo hakuwa na mshindani!