Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 984
- 1,179
Pamoja na maono yako unaweza pia kupitia hapa ether you fight them or join themHello,
Mimi ni mwanafunzi wa Shule ya sekondari Tambaza kidato cha tano katika mchepuo wa PMCs. Naitwa Baraka Range.
Napenda kuwashirikisha wadau wote wa tasnia ya teknolojia katika wazo langu la kuanzisha kitu kinaitwa Tantech Association ambayo itawasaidia vijana kuweza kuunganisha na wadau mbalimbali ambao ni wazoefu katika idara ya teknolojia.
Pia vijana wabunifu watapata nafasi za kuonyesha vumbuzi zao mbalimbali kwa wadau wao ili kuweza kupata misaada mbalimbali. Naombeni ushirikiano wenu ili kuweza kufanikisha jambo hili.
Tanzania Startup Association
Tanzania Startup Association is an umbrella membership-based organization which bring together stakeholders of startup ecosystem in Tanzania to drive the agenda that ensures the growth of the startup ecosystem.