Ninawaza kuanzisha kitu kinachoitwa Tantech Association, naomba ushirikiano wenu

Ninawaza kuanzisha kitu kinachoitwa Tantech Association, naomba ushirikiano wenu

Hello,

Mimi ni mwanafunzi wa Shule ya sekondari Tambaza kidato cha tano katika mchepuo wa PMCs. Naitwa Baraka Range.

Napenda kuwashirikisha wadau wote wa tasnia ya teknolojia katika wazo langu la kuanzisha kitu kinaitwa Tantech Association ambayo itawasaidia vijana kuweza kuunganisha na wadau mbalimbali ambao ni wazoefu katika idara ya teknolojia.

Pia vijana wabunifu watapata nafasi za kuonyesha vumbuzi zao mbalimbali kwa wadau wao ili kuweza kupata misaada mbalimbali. Naombeni ushirikiano wenu ili kuweza kufanikisha jambo hili.
Kuna club. ayari za tehama mashuleni shule za msingi na Chekechea na sekondari wewe mwanachama? tuanzie hapo
 
Kuna club. ayari za tehama mashuleni shule za msingi na Chekechea na sekondari wewe mwanachama? tuanzie hapo
Zingekuwepo na zingekuwa na ufanisi nisingewaza hivi ndugu!

Issue iliyopo now it is not kuwa club za tehama zipo usione mpaka nafikiri hivi zijafanya research hapana nimefanya research ndo maana nikaona kuna kitu kinamiss kwa club hizo za tehama...
 
Maono ni mengi ,ndugu yangu sema vijana tunakosa sapoti kutoka kwa expert mbalimbali..

Ndo maana nimeleta swala hii mbele yenu wadau
Hii mambo ya sijui "nakosa sapoti" kwa wanadamu as if kuna kitu hua unawadai ni pile of nonsense

Hakuna mwanadamu yupo responsible for what u think or do as it is none of their business

Wewe njoo na very strong idea and be good in selling it basi.

Au huenda idea yako ni so bad in such a way wewe binafsi ndio hujui kwamba ni very dumb idea

Wasipoelewa tatizo ni lako ku convince wakuelewe na wala sio wao

Kila kitu kinachokuhusu beba wewe mwenyewe,wanadamu wakikuelewa au wasipokuelewa ni juu yako wewe binafsi na sio wao

Stop crying as if unawadai wanadamu chochote kuhusu vitu vilivyo kichwani kwako mwenyewe

By the way,ukishaanza kuona mtu anaanza malalamiko eti "hapewi sapoti" ujue huyo mtu ni weak minded na ni terrible in rational thinking
 
Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Unataka kuwasaidia vijana wa Kitanzania?
Pita humo kwanza mdogo wangu, kuna ideas nyingi sana zimetolewa na wadau humo ndani, hizo ideas zinaweza kukusaidia kujua vijana wa Kitanzania ni watu wa namna gani na wanahitaji nini.
 
Hello,

Mimi ni mwanafunzi wa Shule ya sekondari Tambaza kidato cha tano katika mchepuo wa PMCs. Naitwa Baraka Range.

Napenda kuwashirikisha wadau wote wa tasnia ya teknolojia katika wazo langu la kuanzisha kitu kinaitwa Tantech Association ambayo itawasaidia vijana kuweza kuunganisha na wadau mbalimbali ambao ni wazoefu katika idara ya teknolojia.

Pia vijana wabunifu watapata nafasi za kuonyesha vumbuzi zao mbalimbali kwa wadau wao ili kuweza kupata misaada mbalimbali. Naombeni ushirikiano wenu ili kuweza kufanikisha jambo hili.
Ushirikiano gani unauomba?
 
Hello,

Mimi ni mwanafunzi wa Shule ya sekondari Tambaza kidato cha tano katika mchepuo wa PMCs. Naitwa Baraka Range.

Napenda kuwashirikisha wadau wote wa tasnia ya teknolojia katika wazo langu la kuanzisha kitu kinaitwa Tantech Association ambayo itawasaidia vijana kuweza kuunganisha na wadau mbalimbali ambao ni wazoefu katika idara ya teknolojia.

Pia vijana wabunifu watapata nafasi za kuonyesha vumbuzi zao mbalimbali kwa wadau wao ili kuweza kupata misaada mbalimbali. Naombeni ushirikiano wenu ili kuweza kufanikisha jambo hili.
Wazo zuri usiliache haijalishi miaka mingapi itakuchukua kulitekeleza komaa hadi lisimame, hii ni ajira yako thabiti ukilipambania
 
Nope yaani ataka kuanzisha platform ya kukutanisha watu kwenye tasnia ya Tech..., kwahio kutakuwa na wataalamu watafuta ujuzi na watu wanaobadilishana mawazo..., Yaani tuseme kama ilivyo kwenye whatsapp groups, telegram groups au hili jukwaa la gadgets..., lakini huenda platform yake ikawa more specialized na ina vitu vingi zaidi kwahio labda hata wewe ukiwa na swali kuhusu simu yako au umegundua mashine ya kutumia mende kulima shamba unaweza kuingia huko...

In short its a community na ukiwa na community ni rahisi hata kuwasaidia wenye kupata funds awe wenye ideas ni rahisi kuweza kuonekana au kuwauzia wahitaji wa idea......

it's not a new concept lakini implementation na wahusika ndio itakuwa a make or break..., ndio maana nikamshauri aanze na wadau wake hapo shuleni asogee mashule mengine aingie hata vyuoni aingie kitaa kwa mafundi simu, computer n.k. (technicians) alafu watu watakaokuwa wanaingia kuchukua contents / knowledge (users) itakuwa ni hatua ya mwisho (sababu ukiwaita watu wengi waje kuangalia a half baked idea wakikuta ndivyo sivyo hawatarudi tena)
A version of stack overflow au quora ?
 
A version of stack overflow au quora ?
Nadhani stack overflow au quora ni more of a platform ya watu kupitia na kutupia swali au kutafuta jibu sio community ya watu kukaa na kubadilishana mawazo nadhani anachosema jamaa ni more of a specialized platform... kwahio lazima kuwe na tools za kutosha watu kushare information, picha na hata videos huenda lazima kuwe na membership plugin uwezekano labda wa watu kutumiana private messages n.k. kwahio huenda a membership forum ikawa more of a fit kuliko a question and answer platform...
 
Back
Top Bottom