Nope yaani ataka kuanzisha platform ya kukutanisha watu kwenye tasnia ya Tech..., kwahio kutakuwa na wataalamu watafuta ujuzi na watu wanaobadilishana mawazo..., Yaani tuseme kama ilivyo kwenye whatsapp groups, telegram groups au hili jukwaa la gadgets..., lakini huenda platform yake ikawa more specialized na ina vitu vingi zaidi kwahio labda hata wewe ukiwa na swali kuhusu simu yako au umegundua mashine ya kutumia mende kulima shamba unaweza kuingia huko...
In short its a community na ukiwa na community ni rahisi hata kuwasaidia wenye kupata funds awe wenye ideas ni rahisi kuweza kuonekana au kuwauzia wahitaji wa idea......
it's not a new concept lakini implementation na wahusika ndio itakuwa a make or break..., ndio maana nikamshauri aanze na wadau wake hapo shuleni asogee mashule mengine aingie hata vyuoni aingie kitaa kwa mafundi simu, computer n.k. (technicians) alafu watu watakaokuwa wanaingia kuchukua contents / knowledge (users) itakuwa ni hatua ya mwisho (sababu ukiwaita watu wengi waje kuangalia a half baked idea wakikuta ndivyo sivyo hawatarudi tena)