Ninawaza tu lakini, hivi watu ambao hawaifahamu JamiiForums wanaishije?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mmh siku ile nilikua nakuhis hisi tu leo nme conferm
Ndo nn sasa kubadilika ata bila kutoa taarifa..leo nilikua nkuulize mbona sikuon jf
Basi nilijua dyadya wangu wa ubani itakuwa ushaninyaka,.heee nikashangaa unavyonipa za uso full dry,.nikasema ntakutembelea wasup ww ngojea tyuu...nimeamua kuwa mrefu jamaniii nilizidi kuwa mfupi khaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚jina lina herufi 4 tuu woiiii
 
J F 😎
OKAY TUTAFIKA TU WAKUU πŸ€”
 
[emoji23][emoji23][emoji23]me ndo nilikua siangaliii nakupa za uso tu na kizee chako[emoji23][emoji23]

Yan babu alikunyaka mapema kushinda ata mm khaa[emoji854]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]me ndo nilikua siangaliii nakupa za uso tu na kizee chako[emoji23][emoji23]

Yan babu alikunyaka mapema kushinda ata mm khaa[emoji854]
Babu @Aspirin yuko vizurii,.babu etu mpenchiii hahaha lazima angeninyaka tuu sio kwa kunilov kule wakati ana staafu,.πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Naomba kuwasilisha Tafadharii......
Maana nadhani hata uwezo wao wa kufikiri na kuchanganua mambo mbalimbali utakuwa upo chini saana..
Wanaishi poa tu. Maana habari za huku nakuta watu wameshare kwenye magroup ya whatsap ambako ndo kuna idadi kubwa ya watu
 
Huyu mleta maada angesapotiwa basi wana jamii form wote , ningejua mna upungufu wa kifikiri. Halafu tusisahau kuna mitandao mingine mingi tu,watu wapo huko. Kuna Ile jamii forum ya 2012 kipindi hicho nilikuwa nasoma huku ndani alaf nakuwa msemaji mkuu wa mambo ya siasa home!!!!! Lakin now days jukwaa limepoteza "credibility" Kwa wale wanaojua credibility huletwa Na expertise, charismatic Na authority .........sasa unamshangaa vitu mtu asiyesoma kuhusu mada za mapenzi za hivyo hovyo tu hapa, ubishani wa kivyama ambao msomaji unajua kabisa hawa ni wanywa maji ya bendera? Juzi nimemuliza my cousin Kama anatembelea jamii forum , kasema bi No Kwa sababu ya comment............hiyo miaka jamiiforum ulikuww unawez tumika "reference" to pursued somebody lakin sio Leo..............hata waandishi wengi humu wamepotea"nguruvi" simuoni humu !!!!!!!!!!!! ...wapi Janson mbwambo ... Mzee mwanakijiji bado yupo?
 
Mimi nawaza watu ambao hawana Iphone. Wanapata wapi ujasiri wa kutumia mitandao ya kijamii.
 
ungeuliza kabla hazijakuwepo twita,instagram,wasapu.
maana kuna mambo watu wanajadili twita na wanamtag hadi jpm ambayo humu ni marufuku hata ban unakula uzi unafutwa.
uteja wetu na jf usitufanye kusahau kuna mengi nje ya box.
Hivi twitter na jf ipi ni safe zaidi ?
 
JF wakati wa JK ilikuwa huru sana, sasa hivi vitisho vingi mno zile mada nyeti hazipo tena. Baadhi ya members pia wamepotea.
 
Mkuu hii ya sasa haina mvuto. Kuna ile JF ya 2012-15. Hii ndiyo ilikua yenyewe. Nilikua sina raha kabisa nisipoingia japo nilikua na view kama guest.
Sasa JF hiyo ilikua very rigid... Hii ya sasa ni flexible... Zama zinabadilika, hatuwezi kuishi lifestyle moja tu hapa jf kwa muongo mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…