Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasafiri kama anaenda Mbeya au ndani ya Tanzania? Imeanza lini hiyo?YES NDIO
Kumbe inawezekana!akifika mpakani anapewa pass ya kuingia au anafanyaje?na gharama je?Ndio unaweza basi ni tahmeed, Dar express
Asante sana mkuu kWa ushauri wako,ubarikiwe.Mkuu kuwa makini sana na ushauri unao pewa kwenye jukwaa hili sio kila mtu ana fahamu na wengine wamejaribu mara moja waka fanikiwa basi wanafanya ndio sheria. Polisi wa Kenya wakikuotea wata kutoa hela mkuu tena sana tu naikiwezekana uta wekwa ndani.
Kabla ya kwenda Nairobi nenda ofisi ya uhamiaji Tanzania chukuwa pass ya mda mfupi ni 30k (beba picha za passport kama 3) then angalia kitengo cha afya pata Yellow fever card, andaa mask zako kama 5 weka kwenye basi. Fika lumumba hapo check na Tahmeed chukuwa ticket kwenda border, hela omba mwongozo kwa konda kuchange hela yako usikubali kubadilishiwa hela kiholela utapigwa za uso, wata kuja wasomali kwenye gari mnapo fika Longido kuwasaidia kubadili hela mkiwa ndani ya basi kuelea boda hao ni salama zaidi na waminifu.
Karibu sana kaka uwe na amani kuliza ukikwama.Asante sana mkuu kWa ushauri wako,ubarikiwe.
Yellow fever lazima kuwa nayo wata goma kukugongea passport. Uzuri ukisha ipata ina kaa mda mrefu 10 years ina hitajika nchi mbalimbali so itakusaidia kwenye safari zingine, passport ni mara moja ila naskia wamesha badili mfumo ina kwenda mwaka sasa so wakati una pewa utapata maelezoYellow card fever lazima kuwa nayo? Je usipokua nayo?na hiyo passport temporary ni ya mda Gani?au utatumia safari moja
Huwezi mkuu....kwa utaratibu wa Uhamiaji huwezi.Habari wakuu?
Nilikua nauliza ninaweza nikapenda Kenya bila passport?Nina kitambulisho Cha taifa je nikifika boda siwezi pata pass ya mda ya kuingia Kenya?
Na je basi zinazoenda Nairobi kutokea Dar ni basi Gani?
Natanguliza shukrani
Bila passport hawezi mkuu...Ndio unaweza basi ni tahmeed, Dar express
Mkuu kumbe kwa sasa hiyo Emergency Travelling Document inatumika mwaka mzima sio kama ilivyokuwa zamani kuwa ukienda ukirudi unaikabidhipassport ni mara moja ila naskia wamesha badili mfumo ina kwenda mwaka sasa so wakati una pewa utapata maelezo
Unaweza kwenda bila ila garama ya kukutwa hauna ni kubwa kuliko kuipata na kuitumiaBila passport hawezi mkuu...
HAIWEZEKANI MKUU......................Labda njia za panya.Kumbe inawezekana!akifika mpakani anapewa pass ya kuingia au anafanyaje?na gharama je?