Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda njia za panya. Kawaida hamna kitu hicho.Unaweza kwenda bila ila garama ya kukutwa hauna ni kubwa kuliko kuipata na kuitumia
Hapo sawa...Tafuta passport ya muda mfupi tu mkuu!
Miezi miwili iliopita waziri alikuwa boda madereva wamelalamikia sana hiyo pass ya single use akasema ata lifanyia kazi na hivi majuzi mwezi ulio pita kuna mtu kaenda chukuwa kapewa ya mwaka hawaku tick pale single useMkuu kumbe kwa sasa hiyo Emergency Travelling Document inatumika mwaka mzima sio kama ilivyokuwa zamani kuwa ukienda ukirudi unaikabidhi
Kuepusha usumbufu akate ile ya muda mfupiLabda njia za panya. Kawaida hamna kitu hicho.
Kabisa jiraniHapo sawa...
Huu ndio ushauri mzuriKuepusha usumbufu akate ile ya muda mfupi
Yellow fever cert kwa hii block ni lazima? Sikuwahi kujua hilo, wamegonga gonga kipande changu cha kusafiria mara kadhaa pale bila kudai ziada!Yellow fever lazima kuwa nayo wata goma kukugongea passport. Uzuri ukisha ipata ina kaa mda mrefu na ina hitajika nchi mbalimbali so itakusaidia kwenye safari zingine, passport ni mara moja ila naskia wamesha badili mfumo ina kwenda mwaka sasa so wakati una pewa utapata maelezo
Sawasawa. Mimi nilikuwa huko jumapili nikarudi jana..Kuepusha usumbufu akate ile ya muda mfupi
Sawa jirani! Ukienda tena Naomba uniletee zawadi!!Sawasawa. Mimi nilikuwa huko jumapili nikarudi jana..
Naijua hiyo njia vizuri.
Lakini hujambo jirani..Kabisa jirani
Niko poa jirani habari za wewe!!Lakini hujambo jirani..
Kama una yellow fever card safi sana kuna Bwana mmoja ana kuwa pale mlangoni akishaona una hizo temporary tu lazima akulize, so iweke karibu.Yellow fever cert kwa hii block ni lazima? Sikuwahi kujua hilo, wamegonga gonga kipande changu cha kusafiria mara kadhaa pale bila kudai ziada!
Hata hivyo ninayo, niliwahi itumia mara mara moja tu ambapo sio kwamba waliiomba, niliiitoa tu kwa kimbele mbele itakuwa
Sawa jirani, mwezi wa nane..Sawa jirani! Ukienda tena Naomba uniletee zawadi!!
Pamoja sana jiraniSawa jirani, mwezi wa nane..
Mmmmh kwa Dar sina uwakika wapi utapata ila kwa border unapata pale mpakani upande wa Tanzania kidirisha cha kwanza baada ya kuingia mlangoni, ila hii itakuwa rahisi kama haupo na basi.Yellow fever si zinaptikana pale mnazi mmoja?
Bei Gani mkuu? Pia natoa shukrani Tena sana Kwa maelezo Yako.Mmmmh kwa Dar sina uwakika wapi utapata ila kwa border unapata pale mpakani upande wa Tanzania kidirisha cha kwanza baada ya kuingia mlangoni, ila hii itakuwa rahisi kama haupo na basi.