Ninaweza kwenda Nairobi bila passport?

Ninaweza kwenda Nairobi bila passport?

Bei Gani mkuu? Pia natoa shukrani Tena sana Kwa maelezo Yako.
Bei ni 35k kama ulipoteza au unataka mpya hapa uta chomwa sindano ya kujikinga pia. KAma una toka nje ya East Africa ni gali zaidi ina kwenda mpka usd50
 
Bila pasi huko wanaenda ni wale wanaoishi mipakani....
Sasa we utoke dar sjui mwanza dodoma utake kwenda huko bila pass
Si kujitafutia matatizo

Ova
 
Huwezi mkuu....kwa utaratibu wa Uhamiaji huwezi.
On Jan 2023, I will be crossing the border to Nby- passport free, tyring to see if Kenyans are my good friends. If they arrest me, its them who will be in a big trouble with the law... 😎

Bila pasi huko wanaenda ni wale wanaoishi mipakani....
Sasa we utoke dar sjui mwanza dodoma utake kwenda huko bila pass
Si kujitafutia matatizo

Ova
 
On Jan 2023, I will be crossing the border to Nby- passport free, tyring to see if Kenyans are my good friends. If they arrest me, its them who will be in a big trouble with the law... [emoji41]
Mimi nishavuka kwenda kenya kutokea rombo ila nlikuwa na wenyeji
Ukienda kichwa kichwa watakukamata

Ova
 
Mkuu kuwa makini sana na ushauri unao pewa kwenye jukwaa hili sio kila mtu ana fahamu na wengine wamejaribu mara moja waka fanikiwa basi wanafanya ndio sheria. Polisi wa Kenya wakikuotea wata kutoa hela mkuu tena sana tu naikiwezekana uta wekwa ndani.
Kabla ya kwenda Nairobi nenda ofisi ya uhamiaji Tanzania chukuwa pass ya mda mfupi ni 30k (beba picha za passport kama 3) then angalia kitengo cha afya pata Yellow fever card, andaa mask zako kama 5 weka kwenye basi. Fika lumumba hapo check na Tahmeed chukuwa ticket kwenda border, hela omba mwongozo kwa konda kuchange hela yako usikubali kubadilishiwa hela kiholela utapigwa za uso, wata kuja wasomali kwenye gari mnapo fika Longido kuwasaidia kubadili hela mkiwa ndani ya basi kuelea boda hao ni salama zaidi na waminifu.
Watanzania bwana sijui tumelogwa! Kama mtu umepanga safari ya Kenya kwa nini usibadishe fedha zako mapema kabla na usubiri mpaka ufike mpakani ubadilishe kwa haraka haraka? Ndiyo maana watu wanapigwa!
 
Sisi huku mkinga tuna boda ya horohoro tunavuka tu hakuna lolote
 
Mimi nishavuka kwenda kenya kutokea rombo ila nlikuwa na wenyeji
Ukienda kichwa kichwa watakukamata

Ova
Rombo kwenda Kenya bila karatasi yoyote ni rahisi mno kama unazijua njia. Ila wakenya siwaamini sana hivyo ni bora mtu uwe na karatasi halali kwa usalama wako.
 
On Jan 2023, I will be crossing the border to Nby- passport free, tyring to see if Kenyans are my good friends. If they arrest me, its them who will be in a big trouble with the law... 😎
Aisee..
 
Watanzania bwana sijui tumelogwa! Kama mtu umepanga safari ya Kenya kwa nini usibadishe fedha zako mapema kabla na usubiri mpaka ufike mpakani ubadilishe kwa haraka haraka? Ndiyo maana watu wanapigwa!
🤣🤣
 
Rombo kwenda Kenya bila karatasi yoyote ni rahisi mno kama unazijua njia. Ila wakenya siwaamini sana hivyo ni bora mtu uwe na karatasi halali kwa usalama wako.
Kwa kule watanzania wapo wanaenda fanya vibarua kenya na kurudi..
Na kuna wakenya wanaingia na kutoka,ila wote ni wenyeji huko wanajuana
Hata tunduma watu wanavuka daily pale kwenda nakonde...ingia toka

Ova
 
Kwa kule watanzania wapo wanaenda fanya vibarua kenya na kurudi..
Na kuna wakenya wanaingia na kutoka,ila wote ni wenyeji huko wanajuana
Hata tunduma watu wanavuka daily pale kwenda nakonde...ingia toka

Ova
Kweli kabisa. Mpaka hospital unakuta Kenya wanakuja kutibiwa Tanzania.
 
Mimi nishavuka kwenda kenya kutokea rombo ila nlikuwa na wenyeji
Ukienda kichwa kichwa watakukamata

Ova
Dare not harrass a politician because u dont know who he might be 2mr...
Waulize wale 'waliomteka' Nape wanajisikiaje leo hii!
 
Watanzania bwana sijui tumelogwa! Kama mtu umepanga safari ya Kenya kwa nini usibadishe fedha zako mapema kabla na usubiri mpaka ufike mpakani ubadilishe kwa haraka haraka? Ndiyo maana watu wanapigwa!
Kuna utofauti wa exchange rate utakayo pata ukiwa Tanzania mfano DAr es salaam na rate utapata mpakani au kwa wanao kuja kukuchangia kwenye gari, rate ndio issue ukiachilia usalama.
 
Habari wakuu?

Nilikua nauliza ninaweza nikapenda Kenya bila passport?Nina kitambulisho Cha taifa je nikifika boda siwezi pata pass ya mda ya kuingia Kenya?

Na je basi zinazoenda Nairobi kutokea Dar ni basi Gani?

Natanguliza shukrani
Utaishia jela za kenya zinaitwa shimo la tewa
 
Back
Top Bottom