the supporter
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 829
- 1,096
Bei ni 35k kama ulipoteza au unataka mpya hapa uta chomwa sindano ya kujikinga pia. KAma una toka nje ya East Africa ni gali zaidi ina kwenda mpka usd50Bei Gani mkuu? Pia natoa shukrani Tena sana Kwa maelezo Yako.
On Jan 2023, I will be crossing the border to Nby- passport free, tyring to see if Kenyans are my good friends. If they arrest me, its them who will be in a big trouble with the law... 😎Huwezi mkuu....kwa utaratibu wa Uhamiaji huwezi.
Bila pasi huko wanaenda ni wale wanaoishi mipakani....
Sasa we utoke dar sjui mwanza dodoma utake kwenda huko bila pass
Si kujitafutia matatizo
Ova
Mimi nishavuka kwenda kenya kutokea rombo ila nlikuwa na wenyejiOn Jan 2023, I will be crossing the border to Nby- passport free, tyring to see if Kenyans are my good friends. If they arrest me, its them who will be in a big trouble with the law... [emoji41]
Watanzania bwana sijui tumelogwa! Kama mtu umepanga safari ya Kenya kwa nini usibadishe fedha zako mapema kabla na usubiri mpaka ufike mpakani ubadilishe kwa haraka haraka? Ndiyo maana watu wanapigwa!Mkuu kuwa makini sana na ushauri unao pewa kwenye jukwaa hili sio kila mtu ana fahamu na wengine wamejaribu mara moja waka fanikiwa basi wanafanya ndio sheria. Polisi wa Kenya wakikuotea wata kutoa hela mkuu tena sana tu naikiwezekana uta wekwa ndani.
Kabla ya kwenda Nairobi nenda ofisi ya uhamiaji Tanzania chukuwa pass ya mda mfupi ni 30k (beba picha za passport kama 3) then angalia kitengo cha afya pata Yellow fever card, andaa mask zako kama 5 weka kwenye basi. Fika lumumba hapo check na Tahmeed chukuwa ticket kwenda border, hela omba mwongozo kwa konda kuchange hela yako usikubali kubadilishiwa hela kiholela utapigwa za uso, wata kuja wasomali kwenye gari mnapo fika Longido kuwasaidia kubadili hela mkiwa ndani ya basi kuelea boda hao ni salama zaidi na waminifu.
Rombo kwenda Kenya bila karatasi yoyote ni rahisi mno kama unazijua njia. Ila wakenya siwaamini sana hivyo ni bora mtu uwe na karatasi halali kwa usalama wako.Mimi nishavuka kwenda kenya kutokea rombo ila nlikuwa na wenyeji
Ukienda kichwa kichwa watakukamata
Ova
Aisee..On Jan 2023, I will be crossing the border to Nby- passport free, tyring to see if Kenyans are my good friends. If they arrest me, its them who will be in a big trouble with the law... 😎
🤣🤣Watanzania bwana sijui tumelogwa! Kama mtu umepanga safari ya Kenya kwa nini usibadishe fedha zako mapema kabla na usubiri mpaka ufike mpakani ubadilishe kwa haraka haraka? Ndiyo maana watu wanapigwa!
Kwa kule watanzania wapo wanaenda fanya vibarua kenya na kurudi..Rombo kwenda Kenya bila karatasi yoyote ni rahisi mno kama unazijua njia. Ila wakenya siwaamini sana hivyo ni bora mtu uwe na karatasi halali kwa usalama wako.
Kweli kabisa. Mpaka hospital unakuta Kenya wanakuja kutibiwa Tanzania.Kwa kule watanzania wapo wanaenda fanya vibarua kenya na kurudi..
Na kuna wakenya wanaingia na kutoka,ila wote ni wenyeji huko wanajuana
Hata tunduma watu wanavuka daily pale kwenda nakonde...ingia toka
Ova
Ukilingilia rombo mkuu kiulaini tuKweli kabisa. Mpaka hospital unakuta Kenya wanakuja kutibiwa Tanzania.
Dare not harrass a politician because u dont know who he might be 2mr...Mimi nishavuka kwenda kenya kutokea rombo ila nlikuwa na wenyeji
Ukienda kichwa kichwa watakukamata
Ova
Kuna utofauti wa exchange rate utakayo pata ukiwa Tanzania mfano DAr es salaam na rate utapata mpakani au kwa wanao kuja kukuchangia kwenye gari, rate ndio issue ukiachilia usalama.Watanzania bwana sijui tumelogwa! Kama mtu umepanga safari ya Kenya kwa nini usibadishe fedha zako mapema kabla na usubiri mpaka ufike mpakani ubadilishe kwa haraka haraka? Ndiyo maana watu wanapigwa!
Utaishia jela za kenya zinaitwa shimo la tewaHabari wakuu?
Nilikua nauliza ninaweza nikapenda Kenya bila passport?Nina kitambulisho Cha taifa je nikifika boda siwezi pata pass ya mda ya kuingia Kenya?
Na je basi zinazoenda Nairobi kutokea Dar ni basi Gani?
Natanguliza shukrani