Ninaye mpenda hana hata muda na mimi nisiye mpenda Mapenzi motomoto

Ninaye mpenda hana hata muda na mimi nisiye mpenda Mapenzi motomoto

Rahabu

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
5,526
Reaction score
3,341
wale wazee wa Cc hebu tianeno hapa hawa vidume wawil yaan nisiyempenda had leo nimwez na nusu hata kubp anasema yuko bze ila upande wa pil huyu ambaye hata punje ya mapenz cna ndo anajua mm nakula nn navaa nn mambo ya tanesko na maj kilak2 had namuhurumia leo2 kaniletea fridge na resit yake lak3 kanifanyia surpise.
kasababisha had yule mwingne simkumbuk tena ila ktk hawa bado hakuna nilie mpa MGEGEDO..

wanaCc niingie huku mana nilitendwa vbaya had naingia woga
 
Nimeishia kutabasabu tu..ilinitokea nikiwa kijana dah mfate wa 2 tu achana na mapenzi ya candle, yani mtu anakupa quirky love then uzembee


...why?...
 
Nimeishia kutabasabu tu..ilinitokea nikiwa kijana dah mfate wa 2 tu achana na mapenzi ya candle, yani mtu anakupa quirky love then uzembee


...why?...

kumbe love ni kitu ya kufuata tu?
 
Kuwa makini sister. Kwakuwa hujamvulia chupi yeyote kuwa makini sana. Hutujuia sie wanaume tulivyo. Sometimes utanunuliwa hata nyumba lakini ukishavua chupi tuu,ukampa alichokitaka kwa muda mrefu utaona sasa balaa lake. Ushauri wangu usimvulie chupi yeyote hata huyo wa pili labda akuoe. Akishaona madhaifu yako tuu kitandani kwisha kazi. Cha msingi kuwa makini sana ktkt mahusiano
 
Kuwa makini sister. Kwakuwa hujamvulia chupi yeyote kuwa makini sana. Hutujuia sie wanaume tulivyo. Sometimes utanunuliwa hata nyumba lakini ukishavua chupi tuu,ukampa alichokitaka kwa muda mrefu utaona sasa balaa lake. Ushauri wangu usimvulie chupi yeyote hata huyo wa pili labda akuoe. Akishaona madhaifu yako tuu kitandani kwisha kazi. Cha msingi kuwa makini sana ktkt mahusiano

sasa akija kuona haya madhaifu aliyo nayo kitandani wakati ameshaoa, si ndio kuanza michepuko?
 
du ushaur wenu umenifaa sana ila no2 hana haraka ni miaka5 sasa tulikua rafik kawaida2 huyu no1 anataka mgegedo ndo atakua na mapenz na mm had naogopa jaman
 
du ushaur wenu umenifaa sana ila no2 hana haraka ni miaka5 sasa tulikua rafik kawaida2 huyu no1 anataka mgegedo ndo atakua na mapenz na mm had naogopa jaman

Hahaa kumbe bado hujajifunza eeh...
 
Endelea kuwasoma kama kuna ambae ni wako itajulikana.Usithubutu kuwaonesha utupu wako harakahraka.Mshirikishe na Mungu pia.
 
hahahaaa.jpg
 
Rafiki wa miaka mitano ndo namba mbili na ndo anataka kuchukua nafasi. Ndio maana huwa napinga urafiki wa jinsia tofauti
 
sio siri Slave kwan marafiki wanakuaga nasiri
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom