Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah! una jina zuri we mtoto! ngoja nije nikudediketie wimbo wa lunch!
aisee kweli wanaume wameumbwa mateso
ROHO INAUMAA SANAAA.........:tape:wale wazee wa Cc hebu tianeno hapa hawa vidume wawil yaan nisiyempenda had leo nimwez na nusu hata kubp anasema yuko bze ila upande wa pil huyu ambaye hata punje ya mapenz cna ndo anajua mm nakula nn navaa nn mambo ya tanesko na maj kilak2 had namuhurumia leo2 kaniletea fridge na resit yake lak3 kanifanyia surpise.
kasababisha had yule mwingne simkumbuk tena ila ktk hawa bado hakuna nilie mpa MGEGEDO..
wanaCc niingie huku mana nilitendwa vbaya had naingia woga
Ndoa ni fumbo kubwa sana aisee.
Duuhwale wazee wa Cc hebu tianeno hapa hawa vidume wawil yaan nisiyempenda had leo nimwez na nusu hata kubp anasema yuko bze ila upande wa pil huyu ambaye hata punje ya mapenz cna ndo anajua mm nakula nn navaa nn mambo ya tanesko na maj kilak2 had namuhurumia leo2 kaniletea fridge na resit yake lak3 kanifanyia surpise.
kasababisha had yule mwingne simkumbuk tena ila ktk hawa bado hakuna nilie mpa MGEGEDO..
wanaCc niingie huku mana nilitendwa vbaya had naingia woga
😂😂😂hahaha we sitaki kutengua ndoa za wapendanao ungekua bachela kwel ila mume wa m2 nae hujui kama sumu unataka uwarid wako an UFOO-SARO