Ninaye mpenda hana hata muda na mimi nisiye mpenda Mapenzi motomoto

Ninaye mpenda hana hata muda na mimi nisiye mpenda Mapenzi motomoto

Last edited by a moderator:
Ila there is no free lunch in paris.. Usiempenda usifikiri hajui, anajua fika that why wewe kakufanya project kabisa, soon ataanza kuyield fruits..huchomok hapo..ila nakushauri anza kujifunza kupenda.
 
nimekuelewa six
 
Last edited by a moderator:
mpe hy mwambie jiran anakusabah siku ya ndoa yangu mtakua watu muhimu sana niny
 
wale wazee wa Cc hebu tianeno hapa hawa vidume wawil yaan nisiyempenda had leo nimwez na nusu hata kubp anasema yuko bze ila upande wa pil huyu ambaye hata punje ya mapenz cna ndo anajua mm nakula nn navaa nn mambo ya tanesko na maj kilak2 had namuhurumia leo2 kaniletea fridge na resit yake lak3 kanifanyia surpise.
kasababisha had yule mwingne simkumbuk tena ila ktk hawa bado hakuna nilie mpa MGEGEDO..

wanaCc niingie huku mana nilitendwa vbaya had naingia woga
ROHO INAUMAA SANAAA.........:tape:
 
anatafakari jinsi ya kuwapata watoto wake
 
hahaha we sitaki kutengua ndoa za wapendanao ungekua bachela kwel ila mume wa m2 nae hujui kama sumu unataka uwarid wako an UFOO-SARO
 
wale wazee wa Cc hebu tianeno hapa hawa vidume wawil yaan nisiyempenda had leo nimwez na nusu hata kubp anasema yuko bze ila upande wa pil huyu ambaye hata punje ya mapenz cna ndo anajua mm nakula nn navaa nn mambo ya tanesko na maj kilak2 had namuhurumia leo2 kaniletea fridge na resit yake lak3 kanifanyia surpise.
kasababisha had yule mwingne simkumbuk tena ila ktk hawa bado hakuna nilie mpa MGEGEDO..

wanaCc niingie huku mana nilitendwa vbaya had naingia woga
Duuh
 
Back
Top Bottom