Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nashindwa kuelewa.
wale wazee wa Cc hebu tianeno hapa hawa vidume wawil yaan nisiyempenda had leo nimwez na nusu hata kubp anasema yuko bze ila upande wa pil huyu ambaye hata punje ya mapenz cna ndo anajua mm nakula nn navaa nn mambo ya tanesko na maj kilak2 had namuhurumia leo2 kaniletea fridge na resit yake lak3 kanifanyia surpise.
kasababisha had yule mwingne simkumbuk tena ila ktk hawa bado hakuna nilie mpa MGEGEDO..
wanaCc niingie huku mana nilitendwa vbaya had naingia woga
Yeah, ni bora ukosee kujenga nyumba kwani unaweza kubomoa na kujenga upya kuliko kukosea kuoa/kuolewa!
hahahahaa unachezea shillingi chooni in the name of love
chukua namba 2 mpe moyo wako kabla wajanja hawaja kuovertake
wale wazee wa Cc hebu tianeno hapa hawa vidume wawil yaan nisiyempenda had leo nimwez na nusu hata kubp anasema yuko bze ila upande wa pil huyu ambaye hata punje ya mapenz cna ndo anajua mm nakula nn navaa nn mambo ya tanesko na maj kilak2 had namuhurumia leo2 kaniletea fridge na resit yake lak3 kanifanyia surpise.
kasababisha had yule mwingne simkumbuk tena ila ktk hawa bado hakuna nilie mpa MGEGEDO..
wanaCc niingie huku mana nilitendwa vbaya had naingia woga
hahahahaa unachezea shillingi chooni in the name of love-
chukua namba 2 mpe moyo wako kabla wajanja hawaja kuovertake
Excel unantisha mama naogopa segerea tena mn
hahahahaa unachezea shillingi chooni in the name of love
chukua namba 2 mpe moyo wako kabla wajanja hawaja kuovertake