Ninaye mpenda hana hata muda na mimi nisiye mpenda Mapenzi motomoto

Ninaye mpenda hana hata muda na mimi nisiye mpenda Mapenzi motomoto

Last edited by a moderator:
wale wazee wa Cc hebu tianeno hapa hawa vidume wawil yaan nisiyempenda had leo nimwez na nusu hata kubp anasema yuko bze ila upande wa pil huyu ambaye hata punje ya mapenz cna ndo anajua mm nakula nn navaa nn mambo ya tanesko na maj kilak2 had namuhurumia leo2 kaniletea fridge na resit yake lak3 kanifanyia surpise.
kasababisha had yule mwingne simkumbuk tena ila ktk hawa bado hakuna nilie mpa MGEGEDO..

wanaCc niingie huku mana nilitendwa vbaya had naingia woga

Mgegedo ulete kwa mwenyekiti, hao wengine ndo nafasi zao hizo, Imeandikwa katika "Jukwaa la chitchat, thread ya 249 , comment ya 45 hadi 52 , kwenye quotes " "heri yule ampae mgegedo wake mwenyekiti na kuacha vijana wa kitaa wakihudumia bila kuona ndani, maana kwa namna hiyo atakuwa amejihakikishia usalama kwani pale ambapo mgegedo wake upo ndipo na mwenyekiti atakuwepo" Neno langu linakomea hapo. Busara inaita tuonane PM kwa ajili ya "lojistiks" nyingine.
 
wale wazee wa Cc hebu tianeno hapa hawa vidume wawil yaan nisiyempenda had leo nimwez na nusu hata kubp anasema yuko bze ila upande wa pil huyu ambaye hata punje ya mapenz cna ndo anajua mm nakula nn navaa nn mambo ya tanesko na maj kilak2 had namuhurumia leo2 kaniletea fridge na resit yake lak3 kanifanyia surpise.
kasababisha had yule mwingne simkumbuk tena ila ktk hawa bado hakuna nilie mpa MGEGEDO..

wanaCc niingie huku mana nilitendwa vbaya had naingia woga

fanya cross multiplication...

la sivyo utakuwa chanzo cha kesi ya mauaji ya vijana wawili watakaokuwa wanakugombania..

usipofanya maamuzi mapema, Segerea itakuhitaji hivi karibuni..
 
Excel unantisha mama naogopa segerea tena mn
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom