Ninaye mpenda hana hata muda na mimi nisiye mpenda Mapenzi motomoto

Ninaye mpenda hana hata muda na mimi nisiye mpenda Mapenzi motomoto

mmm naona mizani inaelekea upande 1
 
hebu niitieni Bantulady
 
Last edited by a moderator:
Kwann wapokea mafridge kama humpendi
2.kama mna urafiki wa 5years inamaana mnajuana vema mpe nafasi kama una kachembe ka upendo kwake
3.fuata moyo wako ila naona namba mbili ni bora mana anakujali huyo meingine ambaye hata hajui unaishije lol mweke kando
 
Namba moja ndio ea ukweli because he has been real...na hivyo ndio alivyo...huyo wa vizawadizawadi ni msanii tuu..jiulize why is he trying so hard to win ur heart...is he for reeal..atakuwa hivyo siku zote or somewhere down the road atabadilika akishapata anachotaka....listen to both yout mind and your heart..love is a confusing puzzle.
 
unamtafuta nani we Excel
 
Last edited by a moderator:
kaz kwako Excel kumdediketia wimbo huyo mwenye jina zuri
 
Last edited by a moderator:
we arusha1 katika list yako kuanzia akina madamB had top mama alieshikilia mpin ladydoctor nanw alikugharimu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom