Ninaye mpenda hana hata muda na mimi nisiye mpenda Mapenzi motomoto

Last edited by a moderator:

Mgegedo ulete kwa mwenyekiti, hao wengine ndo nafasi zao hizo, Imeandikwa katika "Jukwaa la chitchat, thread ya 249 , comment ya 45 hadi 52 , kwenye quotes " "heri yule ampae mgegedo wake mwenyekiti na kuacha vijana wa kitaa wakihudumia bila kuona ndani, maana kwa namna hiyo atakuwa amejihakikishia usalama kwani pale ambapo mgegedo wake upo ndipo na mwenyekiti atakuwepo" Neno langu linakomea hapo. Busara inaita tuonane PM kwa ajili ya "lojistiks" nyingine.
 

fanya cross multiplication...

la sivyo utakuwa chanzo cha kesi ya mauaji ya vijana wawili watakaokuwa wanakugombania..

usipofanya maamuzi mapema, Segerea itakuhitaji hivi karibuni..
 
Excel unantisha mama naogopa segerea tena mn
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…