Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaYaani nilivyosoma tu miaka 19 nikaachana na uzi mzima
Ameileta story kwa niaba ya.......Mr George ni ke [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]??
Makubwa haya!
Hapo Kuna alama ya kufungua na kufunga semi, ameniomba TU nimpostie anaogopa kujulikana
Na mimi nimeona geresho watu wa sensa mna misamiati mipya kila sikuHapo tatizo
Nn
Naona Bikra
Naona 19
Mara namuona Geresho la Goerge?
Mm sielewi in short.
..šš..arudi masomoniYaani nilivyosoma tu miaka 19 nikaachana na uzi mzima
Ametumiwa dm hyo story na mdada ye ndo kashareMr George ni ke [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]??
Makubwa haya!
Geresho tena bila shaka wewe ni karani[emoji16]Hapo tatizo
Nn
Naona Bikra
Naona 19
Mara namuona Geresho la Goerge?
Mm sielewi in short.
Elewa kaka amekwambia yko Znz sio moshi huko kwa mnaoana mkifikia miaka 40Bado uweze wako wa kufikiri ni mdogo sana huu sio umri sahihi wa kuolewa huu ni umri wa kusoma kabisa ndoa inamambo mengi ambayo yanahitaji ukomavu wa akili zaidi katika kuyatatua.