Ninayempenda ameshaoa, anayetaka kunioa simpendi

Ninayempenda ameshaoa, anayetaka kunioa simpendi

Hi inaitwa usikae na Jambo rohoni Seema ukweli bila kujali atajiskiaje.
Kingine kiburi au mazoea ya kusubiri uanzwe yamewagharimu wengi.
Frequency hazikamati kwa dishi lisioo lake kamweešŸ˜Ž
 
Hakuna jambo rahisi duniani kama mwanamke kueleza hisia zake za kingono kwa mwanaume. Nasema ni rahisi sana kwasababu ni ngumu sana kwa mwanaume kukataa moja kwa moja.

Ilinitokea Tabora miaka kadhaa imepita. Mwanamke alinifanyia kila aina ya mitego kama vile ; kunijali sana, kunipa zawadi mara kwa mara, kujiweka karibu yangu kila akipata nafasi, kukaa kihasara hasara mbele yangu lakini nilimkazia (kwasababu..................).

Siku moja alikunywa wine ili kupunguza Soni, alinifata akanishika mkono akanivutia eneo la faragha, tulikulana mate (Binti ana ulimi laini yule)! Hatimaye tulitokomea na kuibukia eneo la mtanange.....agh!! Kudadadeq sio kwa kupiga miti kuleeeee saalaaaaaaaaleeeeeeeee!!!!!! Nilimtifua tifua, vurugua naniliu yake hadi usingizi!

Penzi likakolea likanoga likawa tamu kama asali hakiyanani.

Ulipaswa kumwambia hisia zako, bila kujali angekupa jibu gani
 
Mr George ni ke [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]??
Makubwa haya!
 
Pole sana yusrat, Allaah akujaalie maisha mazuri, muishi kwa amani na upendo.
 
Mkuu maelezo gunia mbili,tutaweza kusoma yote ayo
 
Kitu kilichonifanya nishindwe kuuelewa huu uzi Ni kwamba nilianza kuusoma kutoka chini kwenda juu.

Anyways, unayempenda hakupendi na anayekupenda humpendi.
Nakushauri uachane na mapenzi Kali e alizeti huko shambani kwenu.
 
Wazazi wanakufa ndugu hubadilika soma Sana dogo letu shule inapita mapenzi utayaacha shauri yako
 
Nimesoma tu hiyo miaka lakini ushauri ni mwambie aende shule akimaliza ataolewa.
 
Bado uweze wako wa kufikiri ni mdogo sana huu sio umri sahihi wa kuolewa huu ni umri wa kusoma kabisa ndoa inamambo mengi ambayo yanahitaji ukomavu wa akili zaidi katika kuyatatua.
Elewa kaka amekwambia yko Znz sio moshi huko kwa mnaoana mkifikia miaka 40
 
Back
Top Bottom