Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
- Thread starter
-
- #21
Sio rahisiAchana na mapenzi...fanya mambo mengine
UnajidanganyaAm sure
UmejuajeUnajidanganya
Sasa kwa nini akugomee kuwa pamoja? Huyo hakupendi niamini mimi.Am sure
Ndivyo yalivyoUmejuaje
Bora umwambie wewe
Mkuu umekuja kutaka ushauri au kupinga ushauri nimekwambia wote piga chiniWa kwanza ana hatari sana, siwezi
Sawa, case closed πMkuu umekuja kutaka ushauri au kupinga ushauri nimekwambia wote piga chini
π€£Unazingua. View attachment 2584800
atasema pua si ni yake π€£
ππNdivyo yalivyo
SafiMkuu umekuja kutaka ushauri au kupinga ushauri nimekwambia wote piga chini
π€£π€£
Kubali yaisheππ