Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
- Thread starter
- #41
Sio kweliUnatujuza namna gani ulivyo mzinz
Nampenda sana huyo wa kwanzaKwanini hutaki kuwa pamoja nao??
Nipo tayariUnahisi hauko tayari???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweliUnatujuza namna gani ulivyo mzinz
Nampenda sana huyo wa kwanzaKwanini hutaki kuwa pamoja nao??
Nipo tayariUnahisi hauko tayari???
Sawa mkuuKubali yaishe
Ukweli mchungu.
🤣Ukweli mchungu.
Nipende basi na mimi?
Imani tu 😐
😂Mwanaume unashindwa kucheck game la Bayern unakaa kuwaza mapenzi.
Asante
[emoji1787][emoji1787] duh! Hamna upendo hapaAsante,
Na mimi nakupenda ila sitaki tuwe wote.
Hahaha,
Sawa, sasa sio kila jambo linahitaji Ushauri ila uwezo wa kufanya maamuzi sahihi.Sio kweli
Nampenda sana huyo wa kwanza
Nipo tayari
🤣🤣Mapenzi ni utaahira kwahiyo hapo mko mataahira wanne mnafanya utaahira. Ukijiingiza kwenye mapenzi ina maana kuna sehemu ya akili yako unamkabidhi mtu. Kwenye mapenzi unakuta komandoo wa special forces naye analia. Ujinga mtupu.
💯🤝
Aisee, kuna wadada wababe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Sista[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu umekuja kutaka ushauri au kupinga ushauri nimekwambia wote piga chini