Ninayetaka kumuoa ana mchepuko mwingine

Wanaume wa skuizi huku kupenda mseleleko kutawakutanisha na mambo ya ajabu sana...
Wanawake wachapakazi watawapiga na vitu vizito sikuzote๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mtu ana red flag za kutosha umekazania et mchapakazi!!! Beba majukumu mzee uepukane na dhahama kama hizo!!
 
Si kila mtoto kapatikana ndani ya ndoa
Nafikiri huja nielewa ngoja niku eleweshe

Kuowa ni lazima kwa sababu ni asiri yetu kuishi na wenza wetu

*Huwezi kuitambua thamani ya mke Kama uhuni haujakutoka kichwani bado

*Huwezi kuitambua thamani ya mke Kama hakiri yako bado haija wai kujutia kutumia pesa vibaya,kwa Mambo ya kipuuzi kwani utakuwa bado huja kuwa

Mambo haya huja yenyewe tu

Utaanza kuwaza kuwa na nyumba/kwako baadae utaanza kuchoka kupika na kufua

Huku mtaani watu Wana kuuliza unamke?unajibu hapana wana kuuliza kwanini na uzee wote huo?

Hapo ndipo unakuja kugundua kwamba daah kumbe mi mzee tayari? Unaona Bora uwai kuowa wanawake wasije kukataa uka zeheka pasipo mke

Baadae ya kuowa una jikuta unaanza kutamani mtoto unaanza kumtafutia una mpata BAADA ya hapo gafra tu unaanza kutoka kazini unaenda moja kwa moja nyumbani

Yale Mambo ya mademu,viwanja,pombe Sana una Anza kuyaona zilipendwa uzee una kufika unaanza kushinda nyumbani

baada ya hapo una Anza kuiona faida ya kuowa unapo watuma watoto na kuheshimiwa na watoto wa wenzio sababu ya watoto wako

Hapo unaanza kuitambua faida ya kumlea mtoto ndani ya ndoa na hasara ya mtoto kuto kulelewa na wewe

Baada ya hapo una chomoka watoto Kama uliwalea vizuri watamtunza mama yao. unajua kwanini nime sema mama yao?

Ni kwasababu wanaume tuna wai kufa

Lakini Kama ulizalisha nje yaka lelewa na mama zao na akina mjomba wa kitaani Basi ukifa Yana mfukuza mkeo yana uza nyumba yanaenda kula bata pesa yote kwa siku moja

Iko hivyo bwana mda ukifika utaowa tu utake usitake
 
Nimekuelewa Kwa herufi kubwa Mkuu
Umemuelewa? Mimi naomba jikwambie tu ukweli, chagua wewe usuke ama unyoe. Kama kweli umekuja huku kuomba ushauri, usichague ushauri postive tu! Sasa huyo kakwambia kama una uhakika kimba ni yako songa mbele Kila mwanamke ana mapungufu yake, umeitikia lakini ukweli ni kwamba umedanganywa. Mimi nakwambia haya kwasababu ni mwanamke. Hivi wewe hiyo mimba unayosema una uhakika ni yako? Uhakika upi? Umepima DNA tumboni ama? Anaejua ukweli ni huyo mke, hakuna njia yyte itakufanya wewe ujue ukweli. Sasa nikwambie ukiona mwanamke kafikia hatua ya ku attend sex na mwanaume mwingine tena kwa Hiali yake na mko kwenye mahusiano. Huyo ushampoteza. Trust meยก Kwanini nakwambia hivo. Nyie wanaume mna cheat kwa tamaa ila mwanamke mpaka akucheat huyo kamaanisha. Sasa kama we uko tyar kuendelea na mtu atakae kuza biashara ila akusalit milele Go on. Ila kama unataka mke hapo huna chako, nimemaliza.
 
Kakak ukiona ivyo jua Hausimamii ukucha vizuri ipasavyo jitaidi kupeleka moto ukipata Mingina, Huyo akufai.
 
Moyo wanbinadamu ni kichaka kikubwa sana,usikute waliachana na baba mtoto kwa ajili hyo ya uchepukaji,kua making asikuletee magonjwa.
 
Kifupi unampenda na huna maamuzi sahihi, kumbuka afya njema ni mtaji wa Kwanza katika maisha. Super!!!
 
Mtu keshajifungia mwenyewe na kufuli kwa akili yake, wataka ukachonge funguo ya nini?
 
Achana nae na we pia lea mtoto kama una hakika ni wako. Kama ni duka unaweza kusimamia hata wewe.
 
Hakika umenena vizuri Sana mkuu
 
Pole sana aseee


Kwahio umeamuaje???
But una uwezo wa kumfanya akaacha kurukaruka akatulia nawewe

Cc Smart911
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ