Ninayoyasikia mtaani juu ya watumishi wa Umma katika awamu ya sita yanatisha

Ninayoyasikia mtaani juu ya watumishi wa Umma katika awamu ya sita yanatisha

Hivi ni kipi kilifanya RC Mwanza,Albert Chalamila araruliwe na Muumin wa Heshima ya moyoni?

Isijekuwa kuna Simba na Kenge wa Yuda hapa.
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Acha porojo fanya kazi wewe
 
Mm kwa hili lawama narejesha kwetu wenyewe kwamba atujitambui na atuna isia ya kibinadimu. Yaani mtu amepewa Ajira na miongozo ya utekelezaji pia awepo kiongozi wa kitengo, Idara na Taasisi Bado tunasbilia kusukumwa na kusimamiwa km wanyama.
Kwa hili nashauri wenye makampuni waendelee kuajiri wageni na serikali iunde mfumo wa ajira za mkataba miaka mi3 mitatu.
Pay as U go
Sioni sababu ya kulaumu serikali kuu kwa uzembe huu. Watanzania tubadilike.
Ni ushuhuda kwamba wale wanaopata ibarua nje ya nchi sio kwamba wanalalamika kwa kukandamizwa na kunyanyaswa Bali ni kushindwa kutekeleza majukumu ya mikataba yao
 
Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.
Mama kasema hiyo ilikuwa nidhamu ya woga, yeye anataka watumishi wawe na nidhamu ya moyoni. Tumpeni mama muda kidogo tuone mafanikio ya hotuba na ushawishi wake, labda kweli atawabadilisha wabongo kwa hotuba za mipasho.
 
Miwaongezee mishahara na kuboresha marupurupu na maslahi yao.Siyo unataka tu uhudumiwe kwa haki wakati hautaki kutimiza wajibu wako kwa mtumishi.Nipe haki yangu nitimize wajibu kwa haki.
 
Noumer sana mtu anazimikiwa na vitz au ITS kisa wese limekata , hatari sana , wachumi wenyewe kama ndio kina mwigulu unadhani kuna kitu kitaenda hapo? nasisitiza tupeane pole tu maana tumepigwa sana na tumekubali.
Ukoo wa panya
 
Upuuzi mtupu umeandika hapa! Acha kuchafua ofisi za umma, hizo ulizoandika labda za ukoo wako.

Kwa kukusaidia Magufuli alikwisha kufa wala haji kurudi tena milele, kajipange upya!
Hutaki Sasa.? Basi kamshauri mama ako asimamie serikali badala ya porojo.
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.

Eti wanasema jamaa alikua simba wa yuda!! sasa delila mbona kila kitu hovyo kazi michambo tu na taarabu[emoji3]
 
wazee wa legacy, kwanini asingeweka mifumo imara?
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
tatizo viongozi wa ccm wanakula kwa urefu wa kamba hawajali wanachi wanachowaza ni kubaki madarakani2.
 
Hataki watumishi waoga kama ilivyokuwa kwa mwendazake😁😁😁.

Mwambieni atafute kampuni ambayo boss anacheka cheka na staff wake aone utendaji wake ukoje.

Kazi za uma zote ni za wito, ila watumishi wengi wito hawana wameenda kupumzika hukk, bila moto hawaendi.
 
Back
Top Bottom