Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umeenda mbali sana..umeulizia kuhusu mita za kupima mafuta pale bandarini?Hvi ile mashine ya citiscan ya muhimbili bado nzima kweli?
🤣🤣 awamu ya 5 hata wakamteka bila kujali ye ni naniWwe si Mo Deuji!![emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kama kazi haina masilahi unaacha sio kufanya ilimradi tu.Miwaongezee mishahara na kuboresha marupurupu na maslahi yao.Siyo unataka tu uhudumiwe kwa haki wakati hautaki kutimiza wajibu wako kwa mtumishi.Nipe haki yangu nitimize wajibu kwa haki.
Waambie watumishi.Kama kazi haina masilahi unaacha sio kufanya ilimradi tu.
Wewe si ndio msemaji wao.Waambie watumishi.
Nani alikusimulia?Wewe si ndio msemaji wao.
Ndiyo maana ya Serekali,hata ukiwa na pesa vp tii mamlaka! Siyo Serekali unakaa unawabembeleza Wafanyabiashara, mwisho wao ndiyo watakupangia mashariti Kama wanavyofanya kwenye hii awamu ya 6!![emoji1787][emoji1787] awamu ya 5 hata wakamteka bila kujali ye ni nani
Uje ofisini na kitu kidogo bila hivyo utakula kwa urefu wa kamba yako.Upuuzi mtupu umeandika hapa! Acha kuchafua ofisi za umma, hizo ulizoandika labda za ukoo wako.
Kwa kukusaidia Magufuli alikwisha kufa wala haji kurudi tena milele, kajipange upya!
Acha tukome kabisa maana watu hawajielewiSiku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.
"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.
Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.
Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.
Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.
Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Thubutuuu!Uje ofisini na kitu kidogo bila hivyo utakula kwa urefu wa kamba yako.
ndio ujue alikua empty headedMifumo imara unaipataje kwanza kabla yakua na Watu imara!?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ila yuko mioyoni mwa watz waliowengi mkuu.Upuuzi mtupu umeandika hapa! Acha kuchafua ofisi za umma, hizo ulizoandika labda za ukoo wako.
Kwa kukusaidia Magufuli alikwisha kufa wala haji kurudi tena milele, kajipange upya!
ungejua sababu ya kutekwa kwake usingeandika huo uharo. ni serikali ya kijuha tu inaweza kuteka bilionea wa nchiNdiyo maana ya Serekali,hata ukiwa na pesa vp tii mamlaka! Siyo Serekali unakaa unawabembeleza Wafanyabiashara,mwisho wao ndiyo watakupangia mashariti Kama wanavyofanya kwenye hii awamu ya 6!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Tungebadilisha chama 2015 , nini kingebadilika?