Ninayoyasikia mtaani juu ya watumishi wa Umma katika awamu ya sita yanatisha

Ninayoyasikia mtaani juu ya watumishi wa Umma katika awamu ya sita yanatisha

Ujinga mkubwa sana nchi hii watu wameshindwa kabisa kuona jinsi huyo Jiwe alivyoharibu nchi hii. Tuna kazi kubwa!
Kajenga nchi. Kiubinadamu hakuwa kamili, lakini kuna mambo mengi ya kujifunza na kuendeleza zaidi ya yale ya kuacha.
 
Mafuta ya kula lita sh 9000 na raisi anasema hadharani wazi lazima vitu vipande bei.

Watu wanajipigia watakavyo. Mambo yanajiendea tu.

Sasa hivi mtu/mfanyabiashara anaamka anapandisha bei ya bidhaa atakavyo na Rais anasema lazima iwe hivyo.

Nchi ya hovyo hii, SEMA sina nyingine ya kuhamia.
 
Kajenga nchi. Kiubinadamu hakuwa kamili, lakini kuna mambo mengi ya kujifunza na kuendeleza zaidi ya yale ya kuacha.
Watanzania wanadanganyika kirahisi mno ndio maana tunaendelea kushangilia haya madaraja yanayopita baharini kwamba ndio mambo makubwa tukisahau vipaumbele vyetu.
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
AWAMU YA 6 HAIGOPWI NA WATUMUSHI WA UMMA Rushwa na NJOO KESHO VIMERUDI UPYA
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Huyu Mama kwa kweli anaturudisha kule alikotufikisha JK kwamba mazoba ndiyo watu wa maana hapa nchini.
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Mkuu TANESCO wanaongoza hizo sifa mbaya. Huko mitaani minguzo yao (mamia kwa mamia) imetupwa tupwa kandokando ya barabara, lakini ukienda kuwataka wakuwekee umeme eatakuambia nguzo hamna. WAJIREKEBISHE
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Ni kweli kabisa,
Ila hyo ndo hofu walowekewa watumishi ila tija, au productivity ilikuwa chini sana,
Mfano makusanyo ya TRA
 
Alichoandika ndugu ni kweli na sahihi kabisa mimi pia ni victim nina hati zangu mbili ninatakiwa nipeleke fedha ndiyo nipewe na mimi kwa vile sina fedha nimeamua wacha zikae huko huko mradi nimeshazilipia kupitia control number basi ni suala la muda tu nitazipata bila ya kuhonga
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Wakati wa JPM yalikuwepo isipokuwa yalikuwa hayaruhusiwi kuripotiwa. Kumbuka yaliyompata mwandishi wa habari aliyepiga picha barabara mbovu.
 
Mm kwa hili lawama narejesha kwetu wenyewe kwamba atujitambui na atuna isia ya kibinadimu. Yaani mtu amepewa Ajira na miongozo ya utekelezaji pia awepo kiongozi wa kitengo, Idara na Taasisi Bado tunasbilia kusukumwa na kusimamiwa km wanyama.
Kwa hili nashauri wenye makampuni waendelee kuajiri wageni na serikali iunde mfumo wa ajira za mkataba miaka mi3 mitatu.
Pay as U go
Sioni sababu ya kulaumu serikali kuu kwa uzembe huu. Watanzania tubadilike.
Ni ushuhuda kwamba wale wanaopata ibarua nje ya nchi sio kwamba wanalalamika kwa kukandamizwa na kunyanyaswa Bali ni kushindwa kutekeleza majukumu ya mikataba yao
Jifunze kiswahili mkuu
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.

Tuliambiwa eti ilikuwa nidhamu ya uoga na sasa si waoga tena bya hangayas voice
 
Acha kabisa Uhamiaji, nilikwenda kuwagongea mihuri vijana wangu wawili ambao wote wana pasipoti za 🇨🇦 kwa kuzaliwa, ili kuwapa ile option wakiwa watu wazima wenyewe waje kuamua kama wanataka utanzania ama ubeberu, heeee tate naneeeeee, niligombewa kama mpira wa kona , kila mtu anatak rushwa, walipogundua sipo tayari kutoa rushwa, kila mhudumu pale kurasini akawa ananitreat kama kinyesi, baada ya kuchoma sana dawa ya mbu , nenda rudi , kata kulia , nyuma geuka ya wiki kadhaa.
Nikaamua sihitaji vijana wangu wawe wadanganyika tena,
Changamoto ikabaki kwangu mzalendo kubadilisha pasipoti kwenda kwenye digitali, heeeee abaghoshaaaa, nikaambiwa nianzie kwenye mjumbe wa makumi, sirikali ya mtaa, mtenda kata, Halafu ndio nije sirikali kuu, kuapa wazazi, NIDA, RITA, TANESCO , DAWASCO nk, yaani kwa ufupi afadhali ya mkimbizi kutoka Mogadishu anavyoomba pasipoti kwa mara ya kwanza.
Baada ya kwata ya wiki kadhaa na hatimae mdau wangu mmoja katibu mkuu wa wizara moja nyeti kuingilia kati ndio nikabadilishiwa hiyo ya kuitwa basi buti ya kidanganyika.
Na baada ya mitanange hiyo nikakata shauri na mimi kuwa uzalendo tena basi.
Baada ya kujizuzua kwa miaka takriban 20 kun'gan'gania uraia wa Danganyika, nilifikia uamuzi rasmi wa kuwa raia wa 🇨🇦, yaani nikisikia au kuona kitu 🇹🇿 ssasa hivi ile taswira ya tu dada tutanashati lakini kenye roho susuavu kama jini mtoa roho kanakuja akilini, siku na mood inaharibika kabisaaa
 
Back
Top Bottom