Ninayoyasikia mtaani juu ya watumishi wa Umma katika awamu ya sita yanatisha

Ninayoyasikia mtaani juu ya watumishi wa Umma katika awamu ya sita yanatisha

Acha kabisa Uhamiaji, nilikwenda kuwagongea mihuri vijana wangu wawili ambao wote wana pasipoti za [emoji1063] kwa kuzaliwa, ili kuwapa ile option wakiwa watu wazima wenyewe waje kuamua kama wanataka utanzania ama ubeberu, heeee tate naneeeeee, niligombewa kama mpira wa kona , kila mtu anatak rushwa, walipogundua sipo tayari kutoa rushwa, kila mhudumu pale kurasini akawa ananitreat kama kinyesi, baada ya kuchoma sana dawa ya mbu , nenda rudi , kata kulia , nyuma geuka ya wiki kadhaa.
Nikaamua sihitaji vijana wangu wawe wadanganyika tena,
Changamoto ikabaki kwangu mzalendo kubadilisha pasipoti kwenda kwenye digitali, heeeee abaghoshaaaa, nikaambiwa nianzie kwenye mjumbe wa makumi, sirikali ya mtaa, mtenda kata, Halafu ndio nije sirikali kuu, kuapa wazazi, NIDA, RITA, TANESCO , DAWASCO nk, yaani kwa ufupi afadhali ya mkimbizi kutoka Mogadishu anavyoomba pasipoti kwa mara ya kwanza.
Baada ya kwata ya wiki kadhaa na hatimae mdau wangu mmoja katibu mkuu wa wizara moja nyeti kuingilia kati ndio nikabadilishiwa hiyo ya kuitwa basi buti ya kidanganyika.
Na baada ya mitanange hiyo nikakata shauri na mimi kuwa uzalendo tena basi.
Baada ya kujizuzua kwa miaka takriban 20 kun'gan'gania uraia wa Danganyika, nilifikia uamuzi rasmi wa kuwa raia wa [emoji1063], yaani nikisikia au kuona kitu [emoji1241] ssasa hivi ile taswira ya tu dada tutanashati lakini kenye roho susuavu kama jini mtoa roho kanakuja akilini, siku na mood inaharibika kabisaaa
Pole sana..na swali moja tu..mnafikaje huko ulaya na marekani?

#MaendeleoHayanaChama
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Mfumo ni mbovu kuanzia juu acha watu wale rushwa kwa urefu wa kamba zao
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Mbona hizo ofisi za umma hamzitaji? Huko Kwenye ofisi za umma unaenda peke yako? 😆😆.

Mtatunga kila chorus ila legacy lazima ifukiwe with outstanding results and performance.
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Tatizo mnaongea bila research. Unafikiri watumishi wa umma cyo binadamu?
Hakuna rushwa iliyowahi kuisha kwenye utumishi wa umma acheni unafiki wenu hapo
Alichokifaanya yule mwenzenu ni kutia watu uwoga.na kwakuwa watumishi wa umma wa Tanzania ni kikundi cha watu waoga na wapumbavu wakakubali kujazwa house na uwoga
 
Naona vijana wa Simba wa yuda mmekuwa wapinzani🚶
 
K
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Kwa huyu rahis anayecheka cheka na kutia vitisho vya mdomoni vya kwny kanga nchi itapigwa saaaaana
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Mkuu, umesokia au wewe ndio unasema?
 
Tunamkumbuka sana simba wetu wa Yuda... Apumzike kwa amani mbinguni.
 
Siku hizi mtaani kuna vilio cha maumivu makubwa ya watu kulalamikia utendaji usioridhisha wa watumishi wa Umma. Wengine wanalalamika uzembe ,rushwa, uonevu na kutosikilizwa kukishamiri katika ofisi za Umma.

"Ukienda ofisi ya Umma bila kutoa chochote yawezekana usipate huduma inayoridhisha na zaidi unaweza kuangaliwa tu bila kusikilizwa", alisema mdau mmoja.

Lakini cha ajabu katikati ya vilio na malalamiko JPM anatajwa na wengine wakienda mbali zaidi wakisema JPM aliweza kudhibiti hali hii ya uzembe na rushwa maofisini tunamkumbuka.

Wito
Malalamiko haya yanatolewa na watu wa chini kabisa ambao si rahisi kuweza kufikisha malalamiko yao Juu na kwa kuwa kisemwacho kipo basi Serikali haina budi kudhibiti janga hili kwa nchi.

Naomba kukiri nilichowahi kukutana nacho TRA kinatisha sana. Ile hofu ya mteja ni mfalme TRA hawana kabisa, rushwa na uzembe vinafanyika waziwazi. Hivyo nikisikia watu wanalalamikia utendaji wa mamlaka hii ni ishara wamechoka.

Halmashauri napo hali si shwari, kuna uzembe katika utoaji wa huduma hususani katika idara za afya. Wagonjwa kutopewa huduma stahiki ni jambo la kawaida likichangiwa na rushwa.
Mkuu uko too general kama mtu anayetaka kuupaka upepo matope.
TOA MFANO MMOJA TU, nauone kama haukuchukuliwa hatua.
 
Pole sana..na swali moja tu..mnafikaje huko ulaya na marekani?

#MaendeleoHayanaChama
Kazi za kumwaga ughaibuni, Ingia kwenye mitandao search kazi 🇨🇦, 🇦🇺, 🇳🇿, 🇬🇧 na Commonwealth yote kwa ujumla.
Kaya zinazohitajika sana ni pamoja na afya, ufundi na teknolojia.
Hata ualimu khususan wa masomo ya hisabati na sayansi.
🇬🇧 sasa hivi wanachukua radiographers kutoka Nigeria, 🇿🇦 na 🇿🇼. Wanapenda sana nguvu kazi kutoka kusini mwa jangwa la sahara kwa sababu sio wavivu kama wa 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 , halaf wako competant, wa kwao mtu akiwa plain film ndio hiyo tu, CT ndio hiyo, MRI ni moja tu, lakini vyuma kutoka Afrika mtu mmoja anakokota Plain film, CT, MRI, DEXA, PET CT, Fluoroscopy, US na mpaka kuripoti wanajua, sasa baada ya mabeberu kustukia huo mchongo wakaona ajira wapeleke Afrika.
Michongo ipo ya kumwaga huku sema vijana wa kibongo mitandao wao wanatumia kwa udaku sio ishu za maana
 
Back
Top Bottom